Recent content by authenticity

  1. A

    Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

    Yani unajua hapa lazima tuelewe kwamba 95% ya ungoz wa serikari ya mwendazake haukua mzuri hasa hawa RC,DC eidha kwamakusudi waljua wanachofanya, point yangu nikua sabaya anawajibika Kwa makosa yaliyo tokana natuhuma za raia wa hai,sasa ili kuleta tafasiri nzuri ya uwajibikaji ilifaa nawenzake...
  2. A

    CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

    Tunasubili wafukuze uanachama,afu tuone je,atavuliwa ubunge au ataendelea na nafasi yake pasipo chama kama wale wa upande wa 2.
  3. A

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) kutotoa huduma saa nzima

    Eti mi naonaga Bank tellers wanapeana gap hawaendi ote ili Huduma iskwame.
  4. A

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) kutotoa huduma saa nzima

    Bodi ya mikopo Elimu ya juu nchini husitisha kutoa Huduma kwa muda wa saa nzima, hutumia lisaa zima kwaajili ya kula, wakati huo huduma husitishwa mpaka watakaporudi, hii imeekaje huko kwingineko katika taasisi za umma?
  5. A

    Siku 52: Tanzania bila Magufuli

    Sema tofauti ya uongozi na utawala
  6. A

    Kulikoni umeme umeanza kukatika mara kwa mara?

    Tunaanza upyaa kama ulkua hujui!
  7. A

    Spika Job Ndugai na Naibu wake wajiuzulu kwa kushindwa kusimamia na kuliongoza Bunge

    Moja ya bunge dhaifu kuwahi kutokea duniani na afrika masharik.
  8. A

    Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

    Tusisahau mama alikuwa Makamu, kuwa Rais ni accidentally,tukishaelewa hapo ndio tuanze kuichambua elimu yake na urais.
  9. A

    Mwakyembe akamata mchina amevaa shanga za pembe za ndovu kiunoni!

    Mwakyembe anausika vp hapo,ili hali alshapokonywa madaraka yauongozi.
Back
Top Bottom