Naomba kuuliza ni redio ya Ruge tu ndo huwa inatumika kupromote wasanii? bas kama ndio hivyo redio nyingine inabid zilaumiwe kwa kumuachia yy aendelee kushikilia wasanii au pengine zinaogopa cost ya kumpromote msanii bila malipo ndo huwa redio nyingine hazitaki na kuhusu tuzo za Kilimanjaro...
Kimtazamo wangu cjaona cha kumlaumu Ruge ila mm naona ni uzembe wa wasanii kutokuwa na creativity ya kutafuta opportunity au fursa kama zile, kutokana na kila mwaka kuna maadhimisho ya muungano au uhuru but hakuna anauyejishighulisha kutunga hata wimbo wa uhuru ama muungano sasa inapokuja mtu...
INTERVIEWER: Tell me the opposite of good.
JAMAA:Bad
INTERVIEWER: Come
JAMAA:Go
INTERVIEWER: Ugly.
JAMAA: Fine.
INTERVIEWER: You are wrong!
Jamaa:You are right!
INTERVIEWER: Shut up!
JAMAA: Keep talking!
INTERVIEWER: Ok,now stop all that.
JAMAA: Ok!now carry on all that...
Sikuwah kujjua kama Mwigulu ni kiaz kiasi hicho kumbe ni Lipumbav kias hicho linasema hizo hela bora wangelipa maden ya waalimu so inamaana hela za kuwalipa zilikuwepo ila wakaamua wasiwalipe na kusubiri bunge la katiba ili liwalipe wajumbe na waalimu waendelee kubaki hivyo hivyo na ukiangalia...
Katika kuzid kuitangaza Tanzania katika Africa na Dunia kwa ujumla Diamonds Platnumz ameingia kwenye categories mbili za MTV Africa Music awards pamoja na mtanzania mwingine ambaye ni Anisa Mpungwe ambaye yupo kwenye category moja. Tukiwa kama Watanzania tuwasupport kwa kuwapigia kura.
source...
Sio kwamba Jide ataimba wakat wa uzinduz hapana ila yy ataimba kuipromote bidhaa ya cocacola ambayo ni mdhamin wa kombe la dunia yeye pamoja na hao wenzake
Mkuu utakuwa ulisomewa mada ndio maana hukujua wametumia kigezo gani wakaupa nafas ya saba kwa kifupi hakuna sehem pameandikwa uzuri wa sura ya kiwanja cha ndege jaribu kusoma mada vizuri ni ushauri tu!!
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa
Kigali nchini Rwanda umetajwa
miongoni mwa viwanja 7 bora za
ndege barani Afrika, na ulio mzuri
zaidi katika kanda ya Afrika mashariki
na kati.
Hii ni kulingana na ripoti ya hivi
punde, ya shirika la Skytrax la
Uingereza.
Ripoti hii kwa mujibu wa Skytrax...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.