Recent content by aupa

  1. aupa

    SHULE KWA WANAORUDIA

    Katika pitapita zangu nilipita Chato kwa mh. Na kuona kituo kimoja kinaitwa CHATO VIEW OPEN SCHOOL. Jamaa hawa wanatisha kitaaluma maana matokeo yao ya kidato cha nne walikuwa na Div IV 3 tu za 28 na mbili za 26. Wanafunzi wao wengine wote walifaulu vizuri. Kwa waliofanya mtihani wa maarifa...
  2. aupa

    Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

    CCM imeshinda Kata zote isipokuwa Kata ya Duru manyara
  3. aupa

    HP or lenovo laptop inahitajika fasta!

    Uko mkoa gani?
  4. aupa

    Si wapendagi CCM ila kwa mbunge Msukuma amenifurahisha sana.

    Mh. Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani
  5. aupa

    KIKI YA MWL. MSIGWA

    Kama mwl. Peter msigwa angekuwa anatafuta kiki ilikuwa imefanikiwa sana
  6. aupa

    MBEYA: Walimu 4 wamvua nguo na kumchapa viboko mwanafunzi huku mmoja akimtomasa nyeti

    Kama unaona viboko havifundishi kama una mtoto mfundishie kwako. Usimpeleke shule. Nyie ndo mnawapa viburi watoto
  7. aupa

    Kwanini Wasukuma wanachukuliwa kama kabila la kipekee Tanzania?

    [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
  8. aupa

    Kwaheri Mbowe Night Club(BILICANAS), tutakukumbuka kwa mengi

    Hakuna night club yoyote Chato yenye jina la BILLICANAS. Uongo..... Kuna Giraffe na J.S
  9. aupa

    Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato: Serikali yatangaza tenda

    Pamoja na uwepo wa uwanja wa mwanza, mkoa wa Geita hauna uwanja wa ndege. Katoro kuna wafanyabiashara wanaochukua bidhaa zao nje ya nchi. Uwanja huu utawasaidia bila kusahau watu wa Bukoba na maeneo ya jirani
  10. aupa

    Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato: Serikali yatangaza tenda

    Hujui kuwa Chato ni wilaya? Kwahiyo watu wote wanaoishi Chato ni familia ya Magufuli? Tuacheni wivu
  11. aupa

    Tundu Lissu afikishwa mahakamani, Mawakili wa Jamhuri waomba wakili wa Lissu awe shahidi wa Jamhuri

    Who is Lisu by the way? Nachelea kusema kuwa #Lisu ni mmoja kati ya wanasheria wazuri sana Afrika mashariki lakini anaitumia vibaya elimu yake ya sheria. Ni moja kati ya wanasheria wanaotumia kivuli cha sheria kutaka kuigombanisha serikali na wananchi wake. Ni mwanasheria #conservative ambaye...
  12. aupa

    Shule ya mwendokasi

    CHATO OPEN SCHOOL. Kufaulu lazima,
  13. aupa

    Huu ndio ufafanuzi na maamuzi ya serikali kwa wanafunzi wa UDOM

    Mh. Wanaohamishiwa moro, tukuyu, butimba wataendelea kupata mkopo?
Back
Top Bottom