Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Huku kwetu kuna mzee anafuga mbwa koko. Mchana huwafungia ndani ya namba take (fensi) ikifika usiku wa saa 6 usiku anawafungulia wanatoka nje kabisaaa ambapo nje ya nyumba yake imepita barabara ya lami inayotumiwa na watu 24 hours wakielekea machinjioni Vingunguti.
Mbwa hawa kuna siku nimeshuhudia wakiwakimbiza akinamama alfajiri, walipata tabu sana. Kuna siku wamening'ata mimi mwenyewe.
Nilishafikisha taarifa hii s/mitaa lakini hawajashughulikia. Nilimwambia mtufulani mtangazaji wa radio fulani akaenda akahojiana na wahusika wakamuahidi hawatawatoa tena nje, chaajabu bado huwa nawaona kila alfajiri nikienda kazini.
Naomba dawa ya kudumu kwa tatzo hili. Mimi kama raia nakerwa sana na hili. Namba yangu ni 0714045080, kama mjasiir nikuelekeze ujifanye ofisa wa maswala hayo upige hela.
Mbwa hawa kuna siku nimeshuhudia wakiwakimbiza akinamama alfajiri, walipata tabu sana. Kuna siku wamening'ata mimi mwenyewe.
Nilishafikisha taarifa hii s/mitaa lakini hawajashughulikia. Nilimwambia mtufulani mtangazaji wa radio fulani akaenda akahojiana na wahusika wakamuahidi hawatawatoa tena nje, chaajabu bado huwa nawaona kila alfajiri nikienda kazini.
Naomba dawa ya kudumu kwa tatzo hili. Mimi kama raia nakerwa sana na hili. Namba yangu ni 0714045080, kama mjasiir nikuelekeze ujifanye ofisa wa maswala hayo upige hela.