Recent content by Aulu

  1. Aulu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anahamasisha vurugu nchini kwa kuwa watoto wake Wana Uraia wa Marekani?

    Asee kumbe uwa anaweka na namba ya simu? Uyu ni mpiganaji wa aina yake nilijua ni ufahamu wake ndio upo ivyo. Basi kila la kheri. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Aulu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anahamasisha vurugu nchini kwa kuwa watoto wake Wana Uraia wa Marekani?

    Mkuu mbona kukosa akili kiasi iki? Ni sawa kwa binadamu kukosa akili namna hii? Kwanini mtu kukosa utulivu wa kichwa na kupapaluka namna hii? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Aulu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Sijaona kwenye Mkataba sehemu inayosema Bandari inakodishwa kwa miaka 100

    Kifungu gani kimesema TPA wataamua?
  4. Aulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kero ya kufanya tendo na mwanamke mwenye kitambi.

    Kwataarifa yako wanawake wanene na wenye matumbo makubwa atawao awapendi iyo hali. Badala yakufunga nakufanya mazoezi sana. Wao wanadanganyana kula limao, mara maji ya moto, mara kahawa ya wapi sijui. Lakini hapa wanakana kwa nguvu zote kanakwamba awaoni tatizo.
  5. Aulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kero ya kufanya tendo na mwanamke mwenye kitambi.

    Kuna kuwa mnene na kuna Obesity tumbo kuakubwa kiasi chakudondokea mbele nakulegea iyo ni Obesity. Awezi kua flexible kwenye mapenzi. Itakua nikuchoka kulia ovyo na kujamba bila sababu za msingi.
  6. Aulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kero ya kufanya tendo na mwanamke mwenye kitambi.

    Ana hoja uyu asikilizwe.
  7. Aulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

    Easy man! Pambana lea wajomba zako ayo mambo uwezi jua sirini kulitokea nini. Wanawake wanazingua ujui tu.
  8. Aulu

    JamiiForums Tanzania Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi

    Mama yako ndie anaeumia kukuzaa wa kiume alafu unakazwa kimya kimya.
  9. Aulu

    JamiiForums Tanzania Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi

    Kwa position yake alitakiwa kulaani na kukemea nasio kutoa maneno ya faraja ya kutenganisha dhambi na ushenzi anao upamba kwa kuita si uhalifu.
  10. Aulu

    JamiiForums Tanzania Saidoo wetu ndiye anawabeba kwasasa

    Unakatwa uko jangwani.
  11. Aulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembea naye kweli, akapata mimba... Lakini natatizwa na hili

    Yalinikuta mwakajana binti nilimla mara moja tu tarehe 23 mwezi wa kumi na moja. After one month baada ya kuondoka yale maeneo binti akadai anamimba ilinipa wakati mgumu sana nikajua ananifanyia usanii, yalitokea mengi.. nikajisemea moyoni potelea pote nikaanza kulea mimba. Tarehe 19 mwez wa...
  12. Aulu

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

    [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Fei kamwaga mboga chap nakusepa Uto tunalia lia sasa.
  13. Aulu

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

    Weka iyo nyongeza nione mkuu..
  14. Aulu

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

    Vilio vimetanda uko utopolo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] [emoji23].
Back
Top Bottom