Recent content by Augustino Temu

  1. Augustino Temu

    Ulianzaje kumgharamia binti/msichana/mwanamke uliyenaye?

    Hakuna mwanaume aside honga duniani, na kama huombwi pesa au huhongi bas fatilia utakuta kuna mwanaume mwenzio anakusaidia kuhingaa
  2. Augustino Temu

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta wimbo WA pig black uitwao nini mtaka mazee, binge ya ngomaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Augustino Temu

    Nilikuwa najichanga nichukue Toyota Brevis, ila nimeambiwa inakula mafuta sana

    Wazee VIP kuhusu ist yenye engine ya 2nz cc1395 ulaji wake wa wese ni km ngap kwa litaa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Augustino Temu

    Naomba jina la mtoto wa kiume linaloanza na C

    Asante cnaa nduguu hili jina nimelipenda sana aisee nisaidie na maana yake kaka
  5. Augustino Temu

    Naomba jina la mtoto wa kiume linaloanza na C

    Naomaba nisaidie kutafuta jina la mtoto wangu wa kiume. Ila lianze na herufi C
  6. Augustino Temu

    Tundu Lissu: Richmond ni ya Rais Kikwete

    Kama huyo magufuli anathubutu kupanda jukwaani na kumnadi chenge kwa nguvu zote, unategemea hizo mahakama za mafsadi atafungwa nani kama mafisadi wenyewe ndio wanao sifiwa na magufuli
  7. Augustino Temu

    Hongera Tanesco,mvua kubwa lakini umeme upo hai!

    Asanteni cn kwa ushaur wenu wajomba ngoja nianze kusaka tatizo
  8. Augustino Temu

    Tanesco noma

    Jamani luku yangu inakula umeme sana yaan umeme wa 35elf haufiki mwisho wa mwezi na mimi sina matumizi makubwa zaidi ya tv, radio na kafriji nisaidien jamen
  9. Augustino Temu

    Hongera Tanesco,mvua kubwa lakini umeme upo hai!

    Jamani kuku yangu inakula umeme balaa yaan umeme wa elfu35 haufiki mwisho wa mwezi na mmimi sina matumizi makubwa zaid ya tv, radio na frij ushauri wenu jamani
  10. Augustino Temu

    Kati ya AIRTEL, TIGO na VODACOM yupi yupo Cheap?

    Airtel hawana jipya cz wapo slow kupita maelezo
  11. Augustino Temu

    Kutokana na Maelezo ya Lissu, Zitto Zuberi Kabwe Ameishavuliwa Rasmi Uanachama CHADEMA!

    Safi cn arud kwao akajipange au ndio anaenda ccm
  12. Augustino Temu

    CHADEMA ni msingi yazua balaa na kizaazaa

    Kuna mijitu humu yaani haielewi kabisa utazani walinyeswa damu ya ccm
  13. Augustino Temu

    Dar es Salaam City in Photos

    Poua cn
Back
Top Bottom