Kama huyo magufuli anathubutu kupanda jukwaani na kumnadi chenge kwa nguvu zote, unategemea hizo mahakama za mafsadi atafungwa nani kama mafisadi wenyewe ndio wanao sifiwa na magufuli
Jamani luku yangu inakula umeme sana yaan umeme wa 35elf haufiki mwisho wa mwezi na mimi sina matumizi makubwa zaidi ya tv, radio na kafriji nisaidien jamen
Jamani kuku yangu inakula umeme balaa yaan umeme wa elfu35 haufiki mwisho wa mwezi na mmimi sina matumizi makubwa zaid ya tv, radio na frij ushauri wenu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.