Recent content by Augustine Simba Massongo

  1. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania Mabasi yenye kiyoyozi ni hatari!

    Cooling sytem yoyote lazima mfumo uvute hewa toka nje kwa maana In-let na kisha kuipoza na baada ya hapo kuiruhusu kuzunguka katika chamber. Afterall huwezi vuta kwa kupumua hewa iliyokwisha tumika ya carbon dioxide kwa zaidi ya dakika 30 akabaki kuwa hai. Mfumo kama huu ndani ya mabasi ya...
  2. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania Geita: Mahabusu 17 watoroka Mahakamani

    Jengo jipya ambalo HALIJAKAMILIKA Duu!!! Hilo lilikuwa jaribio la kuwahfdhi NYOKA katika TENGA.
  3. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Wakenya wanatumia mitandao ya kijamii kujitangaza kiuchumi kwa kutumia jina letu la Tanzania, NA kutujenga kisaikolojia tuwaone wametuzidi.

    Hayo ni matumizi sahihi ya fursa zinazopatikana '' Ulipoalala ndipo wenzako walipoamka'' hata kesho usishangae kwa anayoyafanya Mh Masele ndani ya PAP ukasikia wanamtangaza kuwa ni Mkenya wakati sisi tunamuita MBEYA.
  4. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania Mbunge Stephen Masele awasili Bungeni Dodoma kuitikia wito wa Spika Ndugai

    Hayo ya ''CHECK BOB'' ni tafsisi yako binafsi Mh Msele ni Young Leader proved with a very high CAPACITY in leadership INTEGRITY and CARIBRE fuatilia hotuba zake hasa ile aliyoitoa iliyowashawishi wabunge wa PAP kumchagua kuwa vice President wa PAP. Believe or not katika spheres za AU kupitia...
  5. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania Angalizo kwa vijana wa upinzani, hii awamu nyingine acheni siasa za matusi

    Siungi mkono utekaji wala mateso yatonayo na hao wasiojulikana lakini haihitaji taaluma ya sheria kujua tofauti kati ya KUKOSOA na KUKASHIFU.
  6. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania Kundi gani litamchagua tena rais Magufuli?

    Kwa Watanzania ninaowajua mimi masimu wa kampeni za uchaguzi ukifika hizo hoja zote ulizoziainisha ktk hayo makundi ya jamii zita evaporate na umma wa Watanzania hasa wakulima walio wengi utaimba wimbo mwingine kabisa jua ya JPM
  7. Augustine Simba Massongo

    JamiiForums Tanzania Nawakumbusha tena kuwa Makonda sio mdogo kama wengi tunavofikiria

    SIO tu huyo Askofu ana elements za kisiasa na ukananda bali ni mwanasiasa tena za mlengo wa upinzani but under EPISCOPAL GARMENTS.
Back
Top Bottom