Recent content by Atukuzwee

  1. Atukuzwee

    Nahitaji Mwanamke wa kuoa Serious

    Habari kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji mke wa kuoa. Nilishakua na mahusiano huko nyuma ila kuna mambo yalitokea mengi tukaachana ila sijawahi kuoa wala sina Mtoto. Ukiwa interested karibu Sifa zangu ELIMU: Degree. Kazi: Network administrator Umri: 33 Location: Dar Rangi: Black...
  2. Atukuzwee

    Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

    Noo mimi nafanya kazi so kuna mda niko job anapiga simu na hana la maana la kukuambia yaani
  3. Atukuzwee

    Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

    Huwezi maana si mpenzi wako
  4. Atukuzwee

    Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

    Kwa nini? Sio kila mtu anapenda kuongea ongea na simu
  5. Atukuzwee

    Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

    Wadau ushakutana na mwanamke yaani ukituma message lazima apige na usipokea ni mzozo , mnachati message mbili ya tatu anapiga .. hii inakera saana Hawa huwa una deal nao vip maana nimeshaongea nimechoka
  6. Atukuzwee

    Hodi hodi Tunduru

    huo ni uwongo
  7. Atukuzwee

    Hodi hodi Tunduru

    wapoa wakuangaza
  8. Atukuzwee

    Hodi hodi Tunduru

    warembo wa kiyaoo utawaweza wengi utakuta wameshaolewa na wana watoto.. wakiwa na umri mdogo
  9. Atukuzwee

    Hodi hodi Tunduru

    tunduru hakuna hotel wala viwanja kuna misikiti tuu
  10. Atukuzwee

    Hitimisho la Kesi: Licha ya hukumu kutolewa, hakuna official statement niliyokabidhiwa mahakamani

    nakuona tena unarudiana nae? ok ulisema ulienda na gari la mshikaji wako je ungeenda na gari yenu ya siku zote angekuchangamkia?.. usirudi ulipotoka
  11. Atukuzwee

    Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

    daaah 1998 noma saana
  12. Atukuzwee

    Msaada: Upungufu wa nguvu za kiume umepelekea nikose hamu ye tendo la ndoa

    Sikia ndugu yangu Hakuna tatizo la Nguvu za kiume tatizo lako umesha ji setia hvo kwenye akili yako na ndo kinachokutesa kwanza anza kukataa hiyo hali kuwa sina nguvu za kiume alafu uone utashanga tuu unakua sawa .. hakuna atakayekuambia hili
  13. Atukuzwee

    Fuata Hatua Hizi 7 Rahisi Kuwa Huru Kiuchumi

    mada nzuri sana haya nayasomaga kila siku ila ku ya apply ndo tatizo daaah
Back
Top Bottom