Interview dogo anafanya tarehe 08. 06.2025 Mpaka sasa hawajaweka kituo Cha kufanyia kwenye account yake na anafanya online imekaaje mbona hawaweki vituo mapema watu wakajipanga kuna wengine inabidi wasafiri.
Ok. Sawa mkuu anafanya interview tarehe saba mpaka sasa kituo hakijaingizwa kwenye account yake zaidi ya namba ya interview siku nazo zimesogea hapo afanyeje?
Kuna dogo ananenda naye kufanya wiki ijayo majina alitumia majina mawili shuleni mfano ALEX SIMON yapo kwenye vyeti vya shule ila nida yapo majina matatu ALEX SIMON SAMU ana affidavit kuonyesha majina yote ni yake pamekaaje hapo wasije wakamzingua wadau ushauri wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.