1. Uvumbuzi wa Dini na Wanadamu
Dini imekuwepo kwa maelfu ya miaka, lakini hakuna dini moja ambayo imewahi kutawala imani za wanadamu wote kwa ujumla. Kila jamii imeunda miungu, hadithi, na maandiko yake matakatifu, jambo linaloonyesha kuwa dini ni uvumbuzi wa binadamu badala ya ukweli wa...
Inauma sana kuwa mtu anachukiwa na kufikia hadi kuuliwa kisa tu maumbile yake. Huko kwa watu weupe sisi tunachukiwa kutokana na rangi zetu za ngozi. Ila na sisi kweli ni wasafi? Tunafanya vitendo kama hivi dhidi ya watu ambao hawako sawa na sisi. Kwa mfano hapa Tanzania wapenzi wa jinsia moja...
Kwanini usome kutoka Kenya na Zimbabwe usisome kutoka nchi zilizoendelea. Hao unaowataja ni hahe hohe tofauti yetu ni ndogo sana na hao jamaa. Nao wana tatizo kama tulonalo sisi.
Maelezo yangu kuwa kuna matatizo mengi katika elimu haimaanishi lugha si tatizo lugha ni moja wapo ya matatizo mengi...
Ahaa nimekuelewa mkuu. Hapo uko sawa watu binafsi wana uhuru wa kuchagua watoto wao wasome kwa lugha gani. Hata kama wakiamua wasome kwa Kichina, Ila kama taifa lazima tuendane na maslahi ya taifa na sio ya mtu mmoja mmoja. Lazima tufate wataalamu wa elimu wanavyotueleza kuhusu mfumo wa elimu na...
Kuna factor nyingi zinazochangia ubora na urahisi wa kupatikana elimu. Lugha peke yake sio factor inayotawala suala la elimu kuna factor nyingi.
Lugha ni mojawapo ya hizo factors. Hapa tunazungumzia lugha gani inafaa itumike katika elimu na hatujajadili changamoto nyengine. Kwa mfano, ukosefu...
Elimu tayari inapatikana kwa Kiingereza ila haipatikani kwa Kiswahili sasa sijui kwanini unaona ni tatizo ikiwa elimu itapatikana kwa lugha ya Kiswahili. Hivi unajua kama 95% ya watanzania hawajui Kiingereza? Hiyo inamaanisha aslimia 95 ya watanzania watabaki kuwa wajinga. Hivi unajua kuwa huko...
Aslan abadan Kiingereza china hakitachukua nafasi ya kichina katika elimu. Nakubali Kiingereza kina umuhimu ila si kwa kiwango unachokifikiria. Hata kama huko china wanaanzisha vyuo vinavyotoa elimu kwa Kiingereza ila vihesabu kama vizazidi hata 5% ya vyuo vyote vya elimu ya juu nchini china...
Sijafahamu unazungumzia kitu gani. Hivi unajaribu kusema kuwa kwa kujua Kiingereza tutapata kazi nje ya nchi? Hivi kwani sisi kama nchi hilo ndo lengo letu? Na hoja yako haina msingi, nenda ujarumani, nenda ugiriki, nenda japan, nenda china nk hicho kiingereza chako hakitakusaidia kitu bali...
Unachosema ni muhimu ila ujue kuipa kila lugha nafasi yake. Kiingereza kina nafasi yake kimataifa na Kiswahili kina nafasi yake kwa taifa. Lazima uwe makini katika kuchagua vipaumbele. Je tunataka watu wachache wazungumze Kiingereza au tunataka watu wengi waelimike kama taifa? Hapo lazima...
Unaonekana wewe umekariri tu. Hebu nitajie umuhimu wa Kiingereza kwa nukta kama 5 tu hivi? Nataka kujua kama unajua unachoongea. NB: Kiingereza ni muhimu ila je tunaujua huo umuhimu wake au tumekaririshwa tu kuwa Kiingereza ndio kila kitu. Tueleze.
Unaonekana kujadili mada bila ya kuwa na elimu. Unahitaji ujifunze umuhimu wa Kiingereza ni nini na kwanini tunajifunza, halafu ujifunze kuhusu umuhimu wa lugha mama katika elimu. Halafu ndio ujadili. Yaonesha unajadili bila uelewa. Kila lugha kati ya hizi mbili zina umuhimu wake. Tatizo lenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.