Recent content by Athumanitz

  1. A

    Kesi Dhidi ya Dini: Mtazamo wa Kiakili

    1. Uvumbuzi wa Dini na Wanadamu Dini imekuwepo kwa maelfu ya miaka, lakini hakuna dini moja ambayo imewahi kutawala imani za wanadamu wote kwa ujumla. Kila jamii imeunda miungu, hadithi, na maandiko yake matakatifu, jambo linaloonyesha kuwa dini ni uvumbuzi wa binadamu badala ya ukweli wa...
  2. A

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    Inauma sana kuwa mtu anachukiwa na kufikia hadi kuuliwa kisa tu maumbile yake. Huko kwa watu weupe sisi tunachukiwa kutokana na rangi zetu za ngozi. Ila na sisi kweli ni wasafi? Tunafanya vitendo kama hivi dhidi ya watu ambao hawako sawa na sisi. Kwa mfano hapa Tanzania wapenzi wa jinsia moja...
  3. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Kwanini usome kutoka Kenya na Zimbabwe usisome kutoka nchi zilizoendelea. Hao unaowataja ni hahe hohe tofauti yetu ni ndogo sana na hao jamaa. Nao wana tatizo kama tulonalo sisi. Maelezo yangu kuwa kuna matatizo mengi katika elimu haimaanishi lugha si tatizo lugha ni moja wapo ya matatizo mengi...
  4. A

    English in Tanzania, an anatomy of hegemony

    http://cas1.elis.ugent.be/avrug/pdf03/neke.pdf
  5. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Ahaa nimekuelewa mkuu. Hapo uko sawa watu binafsi wana uhuru wa kuchagua watoto wao wasome kwa lugha gani. Hata kama wakiamua wasome kwa Kichina, Ila kama taifa lazima tuendane na maslahi ya taifa na sio ya mtu mmoja mmoja. Lazima tufate wataalamu wa elimu wanavyotueleza kuhusu mfumo wa elimu na...
  6. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Kuna factor nyingi zinazochangia ubora na urahisi wa kupatikana elimu. Lugha peke yake sio factor inayotawala suala la elimu kuna factor nyingi. Lugha ni mojawapo ya hizo factors. Hapa tunazungumzia lugha gani inafaa itumike katika elimu na hatujajadili changamoto nyengine. Kwa mfano, ukosefu...
  7. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Elimu tayari inapatikana kwa Kiingereza ila haipatikani kwa Kiswahili sasa sijui kwanini unaona ni tatizo ikiwa elimu itapatikana kwa lugha ya Kiswahili. Hivi unajua kama 95% ya watanzania hawajui Kiingereza? Hiyo inamaanisha aslimia 95 ya watanzania watabaki kuwa wajinga. Hivi unajua kuwa huko...
  8. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Aslan abadan Kiingereza china hakitachukua nafasi ya kichina katika elimu. Nakubali Kiingereza kina umuhimu ila si kwa kiwango unachokifikiria. Hata kama huko china wanaanzisha vyuo vinavyotoa elimu kwa Kiingereza ila vihesabu kama vizazidi hata 5% ya vyuo vyote vya elimu ya juu nchini china...
  9. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Sijafahamu unazungumzia kitu gani. Hivi unajaribu kusema kuwa kwa kujua Kiingereza tutapata kazi nje ya nchi? Hivi kwani sisi kama nchi hilo ndo lengo letu? Na hoja yako haina msingi, nenda ujarumani, nenda ugiriki, nenda japan, nenda china nk hicho kiingereza chako hakitakusaidia kitu bali...
  10. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Unachosema ni muhimu ila ujue kuipa kila lugha nafasi yake. Kiingereza kina nafasi yake kimataifa na Kiswahili kina nafasi yake kwa taifa. Lazima uwe makini katika kuchagua vipaumbele. Je tunataka watu wachache wazungumze Kiingereza au tunataka watu wengi waelimike kama taifa? Hapo lazima...
  11. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Unaonekana wewe umekariri tu. Hebu nitajie umuhimu wa Kiingereza kwa nukta kama 5 tu hivi? Nataka kujua kama unajua unachoongea. NB: Kiingereza ni muhimu ila je tunaujua huo umuhimu wake au tumekaririshwa tu kuwa Kiingereza ndio kila kitu. Tueleze.
  12. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Nipe mfano wa nchi moja tu iliyoendelea ambayo haitumii lugha mama katika elimu.
  13. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Unaonekana kujadili mada bila ya kuwa na elimu. Unahitaji ujifunze umuhimu wa Kiingereza ni nini na kwanini tunajifunza, halafu ujifunze kuhusu umuhimu wa lugha mama katika elimu. Halafu ndio ujadili. Yaonesha unajadili bila uelewa. Kila lugha kati ya hizi mbili zina umuhimu wake. Tatizo lenu...
  14. A

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Soma hiki kitabu. Utapata majibu yote juu ya mada hii http://cas1.elis.ugent.be/avrug/pdf03/neke.pdf
Back
Top Bottom