Athumanitz
Member
- Feb 19, 2017
- 15
- 12
Nipe mfano wa nchi moja tu iliyoendelea ambayo haitumii lugha mama katika elimu.achana na kiswshili, ongeza mkakati wa uelewa wa english. pili tuko na wenzetu wa EAC, tusiende kivyetuvyetu, do things in consideration that we are east africans, that should be the spirit