Mvua za kule hazieleweki.. Ni Kama hazina msimu tu. Panga ratiba yako Vizuri bila kuwaza Wala kuzingatia mvua coz ni suala ambalo lipo nje ya control yako.
Ushauri wangu Kama ndio unaanza.. Nunua dagaa kutoka kwa wavuvi huko visiwani Kisha nenda kauzie pale Mwaloni Kirumba Mwanza.
Unaweza uza kwa Bei ya Jumla au reja reja.. wanunuzi pale wapo.
My take:- Vijijini hasa huko sijui tabora, Katavi, sumbawanga na nk wahitaji na watuamiji wa hizo dagaa...
Biashara sio Bidhaa flani.. Biashara ni model ya uendeshaji wa Biashara husika.
Model ya Biashara inafanikisha uuzikaji wa kila Bidhaa.
1. Chukua Nusu ya Pesa yako.. Nenda CRDB bank ulizia kuhusu UTT-AMIS (( Kama unaishi ndani ya Majiji Matano ya Tz.. fika moja kwa moja Ofisi za UTT-AMIS ))...
SABABU NI HIZI:-
• Maduka mengi ya Sinza - Kinondoni- Makumbusho na yale ya Bagamoyo road hadi Mwenge.. Wengi maduka yao mbali na kulipa kodi kubwa.. wengi wanayatumia kama sehemu ya window shop ((Bidhaa zinazo wekwa huko Ni Sample tu )).. hivyo basi lazima yapo maduka/biashara zingine Maeneo...
Nenda Kitumbini-Jamhuri street ((Kuanzia kwenye Shelli ya PUMA)) Ushindwe mwenyewe.
Mfano:- Wanauza Box la Big G za GOMBA by that time ((sijui leo kwa kweli )) liliuzwa Elfu 28 -29.. Wakati wewe utaenda kumuuzia mtu mwingine/watu wa dukani Elfu 31-32 ambapo hii ni Bei sawa na wanaouza maduka...
Nenda kitumbini- Jamhuri street, kule unapita mnazi mmoja.. chini kidogo ya soko la Kisutu na pembeni kidogo ya kituo Cha mwendo kasi Cha Kisutu Dar es Salaam. Huko utapata aina zote za pipi.. pia Chimbo lingine Nenda Kituo Cha Mwendokasi Cha Gerezani Kisha ukiwa umesimama hapo.. Tazama mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.