Tunashukuru kwa mafanikio yako. Je, hawa ndugu umewaomba pia wamtegdmee Mungu katikz maisha yao? Mungu ni kila kitu, waeleweshe na nduguzo. Hawajajachelewa. Kwa Mungu alofika asubuhi na alofika jioni wote wa Mungu.
U
Meolewa wapi maana kuoa hujakutaja ndg? Samahani lakini, nataka tu kujua. Wachaga wanaijua elimu. Nani mwandikishe mtoto wake shule ya kayumba? Mtoa mada hajasema utafiti kaufanya she za serikali au za binafsi hasa seminary?
U
sikute hizo pea mwanaume ni yule mwenye boda mwingine wake hupewa day wako so anabembeleza kwa kutekenywa au kuny oon ywaa. Mungu atuokoe. Tunateketea.
Kabisa.
Hiyo ni kiki tu. Je shamba alipata kihalali wakati ni RC Iringa? Maandalizi ya shamba aliyatekeleza kwa hela yake au kwa nafasi alokuwa nayo? Leo tunamsifu bila kujiuliza uhalali wa kulipata? Hakuna mnyonge aliumia? Umeme wa TAA NE SKO uliendaje? Maji ya Iriwasa yalienda kihalali...
Hao ni waliopo. Wasiokuwepo umewasahau. Ila tusijadili watu tujadili hoja. Ivi kwa mfano. Ajali. Imetokea, watu wana majeraha kila mahali na wanatokwa damu ajabu! Je, ni sahihi daktari nae kushangaa badala ya kutibu? Wanasiasa watuokoe kwa hoja na vitendo badala ya kuanza kushikana machoni na...
Kipanya anatumia fani yake kuongea. Ktk jamii yenye tatizo, kumkabili mtu personally hiyi attack hairuhusiwi. Lengo ni ufumbuzi wa tatizo sio kutengeneza tatizo kwa kumkabili mtu personally. Nadhani ujumbe wa kipanya unalenga kulionyesha tatizo kisha litafutiwe ufumbuzi kwa njia sahihi. Wewe...
Mabinti
Wote wanafanana ktk eneo hilo. Yawezekana kijana wako hatumagi ya bandle demu japo jirani yake lakini ashamchoka ndio maana werevu hawaowagi mtaani kwao.
Kuwekeza pesa kuna viwango vyake. Kama hujafikia kiwango unachotaka kuwekeza sharti uweke akiba. Ni bank au utachimba shimo uweke utajua mwenyewe. Mimi sio mtu wa bank nikushauri upeleke bank. Hata ukileta nikutunzie sawa tu. Mleta mada ni mpiga pombe hivyo anawekeza huko maana kwenye pombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.