Recent content by astrogist

  1. A

    FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

    Sasa kama timu inachezaga mechi na wachezaji wanane 8 wa timu, kwa nini isipate shida siku ya kucheza na wachezaji kumi na moja wa timu pinzani, Bodi ya ligi nalo ni kikwazo kwao Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
  2. A

    Taarifa: Nkunku nje ya uwanja wiki 16 (miezi minne)

    Mbuzi wa masikin hazai Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
  3. A

    Chukueni hii kumhusu Kocha Nabi kwani huenda ikaja kutokea baada ya 'Kubuma' huko kwa 'Madiba' Bondeni

    Ni kweli kabisa Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
  4. A

    Mkanganyiko wa biashara ya kamari: Mitandao vs vyombo vya habari

    Kila Station ni matangazo ya kubahatisha. Kila mara" cheza mkwanja" Je, studio hizi zimeshindwa kujiendesha hadi kuanza michezo ya kubahatisha? Hii michezo ya kubahatisha kwenye redio kwanza hakuna uhalisia wa kushinda au kushindwa kwa sababu mteja hawezi kushuhudia ukweli. Ila wanaobet...
  5. A

    Mchungaji Msigwa: Bweni ifutwe kwa shule zote za Msingi, Sekondari na High School ili kuwaepusha Wanafunzi na Mapenzi ya Jinsia Moja!

    Ni sawa Lakini siyo sawa, mwanafunzi Yuko form five Tabora boys, kwao ni Iringa, je, atakuwa anatoka Iringa -Tabora kwenda kusoma na kurudi Iringa kwa wazazi/walezi kila siku?
  6. A

    Maridhiano ya CCM na CHADEMA Ndiyo Kawaida ya Vyama vya Siasa Duniani Ilivyo?

    Siyo lazima kila kitu kianzie kwa democrat vs Republican (USA), Labour party vs Conservative (UK) . Ukisubr kila kitu uige kwa wengine hautakuwa mbunifu
  7. A

    Unatofautishaje Udaktari wa kusomea na Udaktari wa Heshima pale unapotamka vyeo vyao?

    Doctor ni kiingereza, kiswahili chake ni Mganga,wakiwa wengi ni waganga. Kwa hiyo tuwaite hivi, Mganga James, Mganga Nassoro, Mganga Elizabeth, Mganga Mwajuma.
  8. A

    Orodha ya walioachwa Ukuu wa Wilaya

    Huyo William Shimo huko wilaya Geita alikosea nini?. Au ni muda wa kusitafu kwake umefika?
  9. A

    Bashe: Pamoja na ukame wa mwaka 2021, tumezalisha chakula cha kutosha

    Huyu jamaa anajishushia heshima kwa Sisi watz, Hivi haoni bei ya chakula bei iko. Mfano mchele wa kawaida kilo 3000/ ,maharage 3000 hadi 3500 , debe la mahindi elfu 20. Yote kwa yote, bei ya vyakula iko. Kwenye suala chakula, inabd siasa iwekwe pembeni
  10. A

    Wanafunzi kulipa Tsh. Milioni 4.8 kwenda China na Air Tanzania

    Mke wake mhakiki wa vyeti feki yuko wapi? Hasikiki nowadays
  11. A

    Hivi Juma Mgunda alichukuliwa kama kocha au Mganga wa timu?

    Ni kweli Mgunda alienda Simba kama mganga wa jadi, na experience aliyonayo ni kuisumbua Yanga. Hata final ya ASFC alisumbua sana
  12. A

    Kafulila: Sensa hii ni muhimu, itatumika kutengeneza dira ya maendeleo ya Taifa ya 2025-2050

    Hii inaitwa " Time is over". Bado unasaka uteuzi tu, kila idara imejaa. KAJIARI
Back
Top Bottom