Riba imepunguzwa kwasababu mkopaji halazimishwi kukopa kwa marejesho ya miaka saba, nashauri wakopaji wajitahidi kujiwekea limit ya marejesho kati ya miaka 2 au 3.
Matatizo gani? Biashara kufa au wazazi kuwa wazee, hapo viambatanisho ni nini? Vipi wanaosomeshwa na wajomba au shangazi wakaishia njian hao nao waseme wazazi wao wamekufa ili kupata mkopo? Sijui kama naeleweka.
Siyo chuki mkuu, hakuna skilled labour kule kenya kutoka Tanzania. Huo ndio ukweli. Ukitaka ajira kule labla u lobby uraia. Kuna mkuu wa gereza kule namfahamu ni mtanzania ila wakenya wanajua ni mkenya[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Pia Arusha inaimeza Moshi kimtindo, watu wanafanya shughuli zao moshi wanakwenda kulala Arusha hotelini, kuwa karibu na arusha kumedidimiza maendeleo ya mji wa Moshi, mimo mwenyew niko Moshi lakini vitu vingi nachukulia Arusha. Moshi haiwezi kuwa jiji leo au kesho, bado sana OVER!
Udom yenyew imeupandisha hadhi mji wa dodoma, pia, mipango iliyopo ili ifanyikiwe kwa haraka inahitaji dodoma kuwa jiji, so yes Dodoma ni jiji, Mosho tuachane na kihamba system na ukoo life.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.