Recent content by Askari I

  1. A

    Singida ni Mkoa Maskini sana. Yaani Mwaka Mzima TRA inakusanya Bilioni 11 tu

    Kwa kifupi Dar es Salaam na Pwani zinaweza kutengeneza nchi inayojitegemea na mikoa mingine yote ikawa na nchi yao na bado itazidiwa.
  2. A

    Je, Serikali imeanza kulegeza kamba? Yaruhusu Uraia Pacha kwa Watoto

    Asilimia kubwa ya wanaokataa uraia pacha ni sababu ya ignorance na kutokujua faida zake na kuogopa kivuli.
  3. A

    Enzi za Hayati Magufuli Leo angeondoka na Vichwa kariakaoo

    Kipindi chake ndio TRA walinyanyasa zaidi wafanyabiashara na biashara zilifungwa sana. Hata hayo mambo ya task force yalishamiri sana kipindi hicho sema watu walikuwa wanaogopa sana utawala.
  4. A

    Bungeni: Spika Ndugai amsimamisha Stephen Masele uwakilishi wa Bunge la Afrika. Bunge limeteua mkaguzi kumkagua CAG

    Kama kweli amesema hivyo basi huo utakuwa in upotoshaji tu kwa sababu Ofisi ya CAG hukaguliwa kila mwaka na private firms. Nafikiri jamaa anataka kuendeleza ligi tu.
  5. A

    Padri Hauawi, Hata Sheikh Pia...!

    Udini ni ajenda ya CCM ambayo imevaliwa njuga na JKikwete japo wao wanachukulia kama silaha ya kisiasa lakini inaanza kuleta madhara makubwa taratibu.
  6. A

    Juliana Shonza hajielewi, Mwongo Hafai Kuaminiwa na Vijana

    Hongera Bwana aa samahani....Bi Shonza kwa kurudi nyumbani kwenu CCM japo kazi uliyotumwa umeshindwa kuimaliza kama mlivyopanga.
  7. A

    TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

    K........mamake yaani propaganda hadi kwenye haki za msingi za watu.Yaani mnaua makusudi tu halafu mnaleta propaganda kweli hii nchi tume jaaliwa upole na utulivu tu sababu kitu amani hamna ukisema TZ kuna amani na Botswana,Ghana,Mauritius,Malawi utasema kuna nini.RIP kaka Daudi Mwangosi!
  8. A

    Malawi, Tanzania fail to agree on Lake Nyasa border dispute

    Tutabaki kuwa watu wa makelele bila kuwa na fact daima na pia propaganda zinatulevya zaidi ya kuchunguza uhalisia wa mambo.Sasa jamaa wanatumia fact ku claim ziwa (kuonyesha kuwa basis yao inakubalika kuliko ya kwetu ni kwamba mpaka wao ndio unaoonekana kwenye ramani zote za kimataifa) sisi...
  9. A

    Kikwete: Wapinzani ndio wanaochochea vita dhidi ya Malawi

    Bw. Nikupateje tatizo letu Wabongo hatuna tabia ya kufuatilia mambo na kuya analyse bali sisi huwa tunaenda na matukio. Asilimia kubwa ya ramani za kimataifa ambazo ziko neutral (ukiachilia mbali zilizochapwa TZ au Malawi) zinaonyesha mpaka haupo katikati bali ni shoreline upande wa TZ lakini...
  10. A

    Tanzania ni ya sita kijeshi Afrika

    Sikatai uwezekano wa JWTZ kuwa jeshi imara. Kinachonisikitisha ni sisi wabongo kupenda tetesi na habari za kuambiwa na si kutafiti ili tujue ukweli halisi wa jambo fulani na hili ndilo linalotutofautisha na wengine kwa mfano, hivi ni wangapi tunajua vizuri hata maana ya jina Tanganyika?Ni...
  11. A

    Zumari ikipulizwa zanzibar wanadimka hadi maziwa makuu.

    Wanzazibari ni bora mfanye kila liwezekanalo mvunje muungano tena mkishauvunja mbebe na visiwa vyenu mwende navyo Arabuni hilo nadhani ndio litakuwa suluhisho.
Back
Top Bottom