Recent content by ashraf kitushira

  1. ashraf kitushira

    Mjamzito afariki dunia kutokana na foleni leo hii Dar-es-Salaam

    hao matrafki wanawajibishwa na Nani we we.....viongoz wangekuwa wakali hilo gar lingekuwepo mpaka Leo barabarani....na kama raisi angekuwa anaenda chamanzi ingtokea iyoo foleni
  2. ashraf kitushira

    Anajiita Blogger Maarufu Tz Nzima!!!

    hahahahaha wengine wanaiba..wengine wanaibiwa wengne wanacheza barabarani ili hali mkono unaenda tumboni.....watanzania hatupendani
  3. ashraf kitushira

    Updates from Kilosa district(taarifa kutoka wilayani Kilosa)

    Hahahaha we we n September sasa....cjakujua vzr
  4. ashraf kitushira

    Anajiita Blogger Maarufu Tz Nzima!!!

    Jamaa anapga kazi no time rest... napenda falsafa zake katika kazi na social network
  5. ashraf kitushira

    Updates from Kilosa district(taarifa kutoka wilayani Kilosa)

    npo ipuli near by mama unyango....but now naumwa malaria imenikamata.0767290887
  6. ashraf kitushira

    Office Manager wanted - Lady

    rafiki angu uyu mcheki rosemsonge@yahoo.com
  7. ashraf kitushira

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo Uyui tabora Mimi niende dodoma hata kibaha 0767290887
  8. ashraf kitushira

    Updates from Kilosa district(taarifa kutoka wilayani Kilosa)

    nlizaliwa Kilosa.nkasoma Kilosa vidudu mazinyungu msingi.nkasepa then nkabatizwa Kilosa kkkt na badae kipaimara kkkt.Mimi n mjuukuu wa ngowi (r.i .p babu) ngowi garage na bado IPO mpaka sasa.ila basi la remember babuu lilishakufa lilikuwa likienda kilosa mikumi....ukumbi maarufu ulikuwa shimaki/...
  9. ashraf kitushira

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nahitaji kukaa dodoma kwa mpenz wangu Mimi npo tabora Uyui.goweko. 0767290887
  10. ashraf kitushira

    Nafasi ya kazi...

    tunaomba namba yako binamu yangu ana shida na hiyo kazi
  11. ashraf kitushira

    Nafasi ya kazi...

    0686290887
Back
Top Bottom