Balozi za nchi za Nordic zimetuma jumbe tofauti kwenye kurasa zao za Instagram kuhusu mauaji yaliyofanyika katika uchaguzi wa tarehe 29.
Ubalozi wa Finland unatoa rambirambi zake za dhati kwa wote waliopoteza wapendwa wao na kwa wale walioathiriwa na matukio ya hivi karibuni baada ya uchaguzi...
Ni JPM huyu huyu ambae wizara yake ya mambo ya nje ilitoa tamko kumkana Makonda dhidi ya vita yake ya Ushoga baada ya wafadhili kuanza kukata misaada? Ni JPM huyu ambae waziri wake Kangi Lugola alisema hadharani kwamba mashoga wapo salama nchini na hawatoguswa? Ni JPM huyu huyu aliemuhakikishia...
Nakusahihisha tu kuwa huyu Mkurugenzi amekaa mwaka mmoja na miezi 11 anakaribia miaka miwili asipotumbuliwa mwezi May...
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Kuna kitu hakipo sawa. Barua inasema imeandikwa Tarehe 5 Agosti, ila matukio ya kutuhumiwa yametokea tareh 27 na kuendelea. Au walikosea, walitaka andika Tarehe 5 September?
Nani JK au Magu? Wote hawakuwa na maajabu... hakumbukwi mtu, tunataka kiongozi anayeheshimu katiba na taasisi zetu.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Hili ni swali kila mtanzania inabidi ajiulize.
Unakuwa na Rais anasema polisi waache kuonea watu, hapo hapo anasema ameruhusu mikutano ya ndani ila haya maagizo yake yanakaidiwa na watu ambao inabidi wamtii kama Amri Jeshi Mkuu.
Tunaona polisi wakiendelea kuzuia wanasiasa kufanya mikutano yao...
Hili ni swali kila mtanzania inabidi ajiulize.
Unakuwa na Rais anasema polisi waache kuonea watu, hapo hapo anasema ameruhusu mikutano ya ndani ila haya maagizo yake yanakaidiwa na watu ambao inabidi wamtii kama Amri Jeshi Mkuu.
Tunaona polisi wakiendelea kuzuia wanasiasa kufanya mikutano yao...
Imeandikwa na Ansvert Ngurumo kulitia Sauti Kubwa
Rais Samia Suluhu aliwahi kusema kuwa yeye na hayati John Magufuli ni kitu kimoja. Wapo walioyabeba maneno hayo kama yalivyo. Wapo walioyatafakari na kuyachambua.
Ukitazama baadhi ya mambo mazuri aliyotenda Samia ndani ya siku 100 za kwanza...
Natumaini ni kweli. Tushaichoka CCM. Sasa hao wanaoongoza nchi kwa mgongo wa Samia watakubali kuachia madaraka kirahisi?
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Ila Mabeyo si ndio alisaidia kumiweka hapo. Pia, unataka sema hao wakuu wa vyombo bya usalama ndio wanaendesha nchi? Hamna anaewaamuru nyuma yao? Kwanini Samia asiachie ngazi kama yamemshinda?
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.