Na Hilo ndilo linakwenda kutizamwa, Mwalimu Nyerere alisema ni lazima tuchukue kodi lakini kwa wakati ule alisema kwa sasa sichukui toka kwao kwakua hawana kitu, maana yake ni kwamba serikali itazingatia hali za wananchi
Sambamba na kushuka huko, tozo zilizofutwa na kupunguzwa katika bajeti hii zinaleta nafuu ukichanganya na strategy yake ya kurudisha fedha kwa wananchi kwa kulipa madeni inaongeza mzunguko hivyo tutahimili tozo hizi hapo mbele
Nchi inajengwa na walipa kodi, haiepukiki kulipa kodi, tunahitaji shule, barabara, hospitali n.k serikali imeeleza strategy zake ili mzunguko uongezeke
Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila...
Ilikua kuna haja kuzima sintofahamu iliyokuepo kwa wakati huo, sidhani kama kibajaji akiwa na hoja juu bajeti zinazopitishwa atanyimwa fursa, mbona wengine wanazungumza?
Nimekuwa nikiwatizama wale tunaowaita “mother of democracy” lakini sijawahi ona wakiendelea na siasa za majukwaani katika majimbo na badala yake ni mijadala katika sehemu fulani na katika media, au nipe shule zaidi katika hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.