Recent content by aseckisye

  1. aseckisye

    Yanga tunataka Mchukua Manara - Chonde chonde tuacheni huu Upuuzi

    Upo usingizini unaota na ghafla unazinduka unakumbuka kuwa ulikuwa unaota lkn huwezi simulia ndoto husika.
  2. aseckisye

    Uwekezaji Simba: Wako wapi wawekezaji wengine wawili waliotajwa kwenye kanuni za Tume ya Ushindani?

    Mm nadhani hii tayari imekuwa expired issue kwani kuijadili muda huu haina manufaa tena maana kila kitu limeisha,tungekuwa wamaana sana kama tungetoa angalizo kabla ya mchakato ni tetesi.
  3. aseckisye

    Ilikua lazima Mo Dewji aweke bilioni 20 baada ya Azam kutoa mkataba mnono Yanga

    Hicho ndicho kikomo cha akili zako na upeo wa kufikiria kwako.
  4. aseckisye

    Nimehamia nyumba yenye skendo ya uchawi

    Kwanza ulipaswa kufanya utafiti mzr kabla hujaingia,lkn kwakuwa umeshaingia hama kimya kimya bila hata boss wako kujua suala la pesa tena mate chini na useme hii ni hasara kama hasara zingine, vinginevyo muite ukae naye chini mwambie kuna ndg yako amekuachia nyumba yake yeye kuhama kikazi na...
  5. aseckisye

    Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

    Viongozi msipende kutumia lugha za kijeuri jeuri pale wananchi wenu tunaposhindwa kuwaelewa na kuwahoji,njooni na majibu sahihi kwa wananchi pindi muulizwapo jambo!,uzuri tunaye mama.
  6. aseckisye

    Simba chali, yaburuza mkia

    Basi chukueni ubingwa basi[emoji846].
  7. aseckisye

    Kumbe Perfect Chikwende amevunja mkataba na Simba

    Isingekuwa rahisi ww kupata taarifa za simba maana huhusiki kwa lolote na kwa sasa usitemee kupata taarifa za simba kienyeji,it's very proffesional club for nowadays.
  8. aseckisye

    Mwelekeo wa Serikali kwa sasa

    Mama yupo vizuri sana tu ila nafikiri waliopo chini yake siyo wazuri wengi yaani hawana uzalendo, fikiria kama Mbunge wenye mshahara wa zaidi ya ML 7 hachangii kodi,anaye changia kodi ni mtu wa chini kabisa ambaye hata mlo mmoja kwa siku ni shida ndiye anaye kamuliwa zaidi na wanao panga yote...
  9. aseckisye

    Hii ratiba TFF wamemtengenezea Simba mazingira ya kuchukua ubingwa mapema kirahisi kabisa

    Utopolo mmeanza kuteseka, imewakata hiyo, badala ya kushughulikia matatizo yenu mliyo nayo mnashughulikia mafanikio ya MNYAMA, hii imewakata.
  10. aseckisye

    Mechi ya Kaizer Vs Simba Sc kuchezwa bila mashabiki

    Utopolo wanateseka balaa, watakufa na BP msimu huu
  11. aseckisye

    TFF wanaipendelea Simba SC, ukweli huu hapa

    Huna akili sawasawa na usiwalaumu TFF, na isitoshe wewe siyo Mwana michezo umewezaje kujua taratibu za huo mchezo?, Kaizer chief ya wapi iliyo cheza trh 12?,usitufanye na sisi hatujui mpira kama wewe, sisi tunaujua, so simba haikuhusu kaa kimya iacje simba yetu.
  12. aseckisye

    Lengai Ole Sabaya, asante kwa utumishi wako

    Ha ha haaaaaa!, kwa hiyo Ole Lengai Sabaya alikuwa modal wako?, Hahahaaaaa
  13. aseckisye

    Mkuu wa nchi kutokusafiri au kusafiri mara kwa mara

    Bora asafiri itasaidia kutengeneua mazingira mazuri zaidi kidipromasia KIMATAIFA, na tuliona aliyekuwa hawezi ktembelea wenzake na suala la uchumi lilipo kuwa linaelekea., Ikafika mahara hata hatuwezi kuuza hata bizaa zetu nje ya Nchi , wengine walianza kusema bizaa zetu hazina ubora.
Back
Top Bottom