Nashukuru Mungu baba Muumba wa vyote, nimerejea Dar es salaam kutoka Musoma(ALAT) nikiwa bukheri wa Afya.
Ni imani yangu uwakilishi wangu kama Meya wa Kinondoni katika jumuiya ya serikali za mitaa chini ya mkutano wa wakurugenzi, mameya na wenyeviti wa halmashauri nchi nzima ndiyo ilikuwa...
KWA TAARIFA ZA HUDUMA HII ALIYO ZINDUA WANANCHI KINONDONI WATAISAHAU CCM
TIKA TIKA Tiba kwa Kadi yazinduliwa na Meya Boniface Jacob Kinondoni.
Mstahiki Meya wa Boniface Jacob Jana tarehe 5/8/2016 amezindua huduma ya afya inayoitwa Tiba kwa Kadi katika manispaa yake.
Huduma hii ya TIKA...
Naanza na usemi wa zamani wa "ujanja mwingi mbele kiza", ndivyo ilivyo kwa ZITTO ZUBERI KABWE, aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kupitia CHADEMA.
Nimetoka kigoma janaJULY 2 2015,kwa ziara yangu ya siku 20...kijiji kwa kijiji na kata kwa kata jimbo la kigoma mjini.
Nikiwa nafanyia kazi...
Usiwe unakula lunde mchana alafu bila maji mkuu...ona sasa madhara yake.unachafua hali hewa humu Jf.nategemea baada ya hii posti yako lazima utakuwa umeenda msalani mkuu
Wale walinzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo waliokamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya kwa kusadikiwa kuhodhi vifaa vya kivita na kijeshi wameachiwa huru kwa dhamana.
Dhamana hiyo ilitolewa na hakimu mkazi wa Wilaya ya Momba muda huu.
Vijana hao ambao mi Methew A Mwafongo na Salehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.