Recent content by asagulaga

  1. A

    Kutoka Kenya: How President Magufuli plans to destroy Africa’s ecosystem

    Ni kwa bahati mbaya Sana wasiopenda maendeleo ya nchi yetu watapinga Kila kitu. Wanamwogopa Rais wetu alivyojitambua na kuthubutu kufanya Yale mabeberu walizuia yasifanyike kwa miaka mingi. Eneo linapojengwa bwawa kwa ajili ya nishati ya umeme Ni dogo Sana ukilinganisha na ukubwa wa hifadhi ya...
  2. A

    Waziri Mahiga afungua ubalozi wa Tanzania nchini Israel

    Tuliyeemunga mkono mwanzoni (Egypt) ana ubalozi wake Tel Aviv.
  3. A

    Nilimgonga bodaboda kwa bahati mbaya, nikampeleka hospitali akapona ila kero yeye na baba yake wananiomba hela

    Matatizo ya barabarani yanamalizwa na traffic police na mahakama. Take care
  4. A

    Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

    Ukifanya maandamano na hayo maandamano hayana kibali utapigwa tu na utapigwa saana, maana hamna njia nyingine. Nakushauri ujiepushe na maandamano yasiyo na baraka ya serikali.
  5. A

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Mtoa maada umesema ukweli. Rais Dr Magufuli ana uchungu was kweli na nchi hii. Anawapenda watanzania, in mzalendo was kweli. Ana dira ya nchi inayoeleweka. Mungu umlinde Rais wetu.
  6. A

    Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 latokea Dodoma

    We mtu wa ajabu. Utasubiri sana!!
  7. A

    Hukumu ya Joseph Mbilinyi (Sugu) ni kesho, wanaMbeya wanasema ama zao ama mbunge wao

    Uzi huu in uchochezi mtupu. Na aliyeandika hana uzalendo wa kweli. Anajaribu kuwalisha maneno wana Mbeya. Mbeya inahitaji maendeleo siyo kila Sikh siasa za fujo. Uchaguzi ulikwisha 2015 acha wananchi washirikiane na serkali kuleta maendeleo
  8. A

    Kwenye hili la Sugu, Mbeya inakwenda kuleta mageuzi na taifa zima litaamshwa!

    Akina Sugu wamechemsha, wanatuharibia Mbeya yetu. Wacha washugulikiwe ili jiji letu la Mby lipewe heshima inayostahili. Haiwezekani viongozi katika mji mkubwa kama Mby hawawezi kijiheshimu na kuendesha maneno ya kihuni namna hiyo. Waache wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Wana Mbeya amkeni...
  9. A

    Swali kwa ma men, Tanzania Ina makabila >120, umegonga mangapi mpaka sasa?

    Zinaa ni hatari sana. Vitabu vitakatifu vinatuasa kuikimbia zinaa nyie mwashabikia?? Mnaeneza magonjwa kwa makusudi. Oa au olewa kuepuka zinaa.
  10. A

    Trump aishambulia Afrika, Haiti na El Salvador adai ni 'nchi chafu'

    Hii inatuamsha waafrika. Maendeleo yetu yataletwa na sisi wenyewe na kizazi chetu. Uongozi mbaya umeleta shida kubwa kwa waafrika mpaka wazungu kufikia kutukana namna hii. Ndio maana waafrika wa sasa karne hii wanafia kwenye bahari ya kati (mediterranean) kwa sababu ya kujaribu kwenda tafuta...
  11. A

    Serikali itangaze mwisho wa kutakiana Heri ya mwaka Mpya

    Achana na mambo ya kila jambo ifanye serkali. Mwisho hata salam ya kawaida itaamuliwa na serkali
  12. A

    Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

    Wewe lemaa na kwamba Magu kabana fedha. Kwani amechukua mfukoni mwako. Wale wapigaji ndiyo kawabana. Wanaopata fedha kwa njia halali wanapeta. Jifunze kupata hela halali
Back
Top Bottom