Hao watuhumiwa waliwekwa kizuizini kwa dhulma na mama hataki dhulma we kufa na roho mbaya yako je wale walioachiwa kungekuwa na baba yako ungesema maneno haya?
Mkuu maneno yako mbona yako kitheori zaidi haliyakuwa uhalisia hauko hivi ni bora ukae kimya uwaachie wenye taaluma yao wafanye kazi ww kama ni mhubiri endelee na kazi yako hiyo
Mpanji alikuwa anauza mitumba mwanjelwa maisha yalivyompiga akaamia kwnye uchungaji ambako huduma zake kwa 100% ni zakiganga watu wanatoka vijijini huko wanaenda kukaa kanisani kwake wakisubiri huduma ya matibabu in short huyu jamaa ni mpigani hela tu hana jipya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.