Mimi ni kijana wa kiume mkakamavu na mtii mwenye umri wa miaka 22 naishi tabora, nina elimu ya kidato cha 6 PCB.
Naandika andiko nikiwa nina uhitaji wa kazi yoyote ya halali kwamfano:kuuza duka, shamba boy pia kama nikipata nafasi ya kujifunza fani za ufundi au uendeshaji wa magari na mitambo...
John kayabu(johsley) kazima high school tabora uliondoka kwa typhoid uliwaomba ruhusa walimu wakahisi unawadanganya kwakuwa ulikuwa mtata kidogo shuleni tutakukumbuka daima rapa ulikuwa unarap sana johsley daah😣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.