1)Una eneo la ardhi
2) eneo lile hutaki kuuza moja kwa moja unahitaji mtu aje kuwekeza either kujenga jengo la biashara ama makazi kwa mkataba fulani
3) baad ya mkataba kuisha umiliki unarud kwako
Je kitu hiki kinaweza kufanyika Na kwa njia zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.