Binadam anaweza kupata maelezo yoyote yanayomuhusu binaadam mwengine ambae si Mcha Mungu kupitia Qareen (companions) wa kishetani. Kwa wacha Mungu haiwezekani labda huyo "Mcha Mungu" awe mnafik wa show off tu.
Binadam wengi hujificha nyuma ya pazia la misikiti na makanisa ili waonekane ni wema...
Kisa cha Adam – Utangulizi 2.1
Mada: Je, Malaika Walimuuliza Mwenyezi Mungu?
Salaamoun Alaikoum
Tunapoendelea na safari yetu ya Qur’anic Stories, tunatua katika swali la msingi: Je, Malaika walimuuliza Mwenyezi Mungu? Swali hili limeenea kwa tafsiri nyingi, hususani katika aya ya Q2:30. Lakini...
Kwa ufupi, dunia yao / zao ni physically lakini zipo kwenye "dimensions" tofauti. Kuna mipaka au niseme pazia baina ya dunia zote hizo. Tofauti yake ni kama vile unapoota (subconscious) unaweza ukaingia kwenye dunia au ulimwengu mwingine (dimension tofauti bila effort.
Hii lm ina mitazamo tofauti. Kwanza kabisa iategemea uelewa na ufahamu (Arsh) ya mtu anaeliongelea au anaelisikiza.
Huwa tunaamua hiki ni nini au nini kutokana na uelewa (Arsh) zetu.
Ukubwa na upana wa "arsh" zetu hutokana na tulioyaona, yasikia, yasoma, yanusa, yaonja na kuyapitia kwa...
...Inaendelea
Kisa cha Adam; Utangulizi 2
Salaamoun Alaikoum.
Ni nini mbu?
Licha ya Tafsil na Lisan, mbinu muhimu sana iliotumika ndani ya Qutr’an ni ‘dhikr”, dhikra kwa tafsiri za wengi ni ukumbusho, hapa tunalitumia neno ‘dhkr’ kumaanisha visa na hadithi za ndani ya Qur’an, kama...
Kisa cha Adam. Utangulizi 1
🧠 "Mbu" kama ufunguo wa Maarifa
Aya ya Qur'an ya Q2:26 haimtaji tu mbu kama kiumbe, bali inaunda mfano wa kipekee: kitu kidogo kinachoangaliwa na walioamini kama ishara ya haki, na na walio kufuru kama fumbo lenye kero. Hii ni changamoto ya kiakili—huwachuja wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.