Recent content by Arsis

  1. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Binadam anaweza kupata maelezo yoyote yanayomuhusu binaadam mwengine ambae si Mcha Mungu kupitia Qareen (companions) wa kishetani. Kwa wacha Mungu haiwezekani labda huyo "Mcha Mungu" awe mnafik wa show off tu. Binadam wengi hujificha nyuma ya pazia la misikiti na makanisa ili waonekane ni wema...
  2. A

    Kisa cha Adam, tofauti kinavyotafsiriwa na Waislam na Wkristo

    Kisa cha Adam – Utangulizi 2.1 Mada: Je, Malaika Walimuuliza Mwenyezi Mungu? Salaamoun Alaikoum Tunapoendelea na safari yetu ya Qur’anic Stories, tunatua katika swali la msingi: Je, Malaika walimuuliza Mwenyezi Mungu? Swali hili limeenea kwa tafsiri nyingi, hususani katika aya ya Q2:30. Lakini...
  3. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Bakora mwenyewe anasema yeye ni mtu, ni mimi ninaesema yeye Jinni kwani mambo yake kama ulivyoyasoma juu huko. Kwa ufupi inawezekana.
  4. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Kwa ufupi, dunia yao / zao ni physically lakini zipo kwenye "dimensions" tofauti. Kuna mipaka au niseme pazia baina ya dunia zote hizo. Tofauti yake ni kama vile unapoota (subconscious) unaweza ukaingia kwenye dunia au ulimwengu mwingine (dimension tofauti bila effort.
  5. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Hii lm ina mitazamo tofauti. Kwanza kabisa iategemea uelewa na ufahamu (Arsh) ya mtu anaeliongelea au anaelisikiza. Huwa tunaamua hiki ni nini au nini kutokana na uelewa (Arsh) zetu. Ukubwa na upana wa "arsh" zetu hutokana na tulioyaona, yasikia, yasoma, yanusa, yaonja na kuyapitia kwa...
  6. A

    Kisa cha Adam, tofauti kinavyotafsiriwa na Waislam na Wkristo

    ...Inaendelea Kisa cha Adam; Utangulizi 2 Salaamoun Alaikoum. Ni nini mbu? Licha ya Tafsil na Lisan, mbinu muhimu sana iliotumika ndani ya Qutr’an ni ‘dhikr”, dhikra kwa tafsiri za wengi ni ukumbusho, hapa tunalitumia neno ‘dhkr’ kumaanisha visa na hadithi za ndani ya Qur’an, kama...
  7. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Ibada unafanya? Hususan za salat? Kama hufanyi anza mara moja.
  8. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Usilolijua ni usiku wa kiza.
  9. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Mimi ni mwanafunzi daima.
  10. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    In sha Allah tutatafuta njia, tutakujulisha hapahapa. Tumuombe Allah atufanyie wepesi.
  11. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Sikuelewi unasema nini.
  12. A

    Kisa cha Adam, tofauti kinavyotafsiriwa na Waislam na Wkristo

    Kisa cha Adam. Utangulizi 1 🧠 "Mbu" kama ufunguo wa Maarifa Aya ya Qur'an ya Q2:26 haimtaji tu mbu kama kiumbe, bali inaunda mfano wa kipekee: kitu kidogo kinachoangaliwa na walioamini kama ishara ya haki, na na walio kufuru kama fumbo lenye kero. Hii ni changamoto ya kiakili—huwachuja wale...
  13. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Uliza, unapenda nikuelezee nini kwa mtazamo wangu?
  14. A

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Ni mtazamo kwa uelewa wako lakini sio uhalisia kwa wengi.
Back
Top Bottom