hapa kwenye elimu panahitaji maboresho makubwa kwa hawa wizara kujitazama upya!!!!
au ndo mazao ya waliofeli kukimbilia ualimu na hivyo kuishia wizarani na badae matokeo yake wizara yote inakuwa uozo?!
Nawaonea huruma wanangu huko mashuleni!!!!
moderator fanya mjadala maalumu wadau wachangie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.