pole sana kwa yaliyokukuta najua maumivu unayoyapata, nami yamenikuta kama yako ninachoshukuru kwa sasa naendelea vzr naendelea na mimba yangu, nimekubali matokea. inauma sana ila iko siku utayasahau yote na utalea mwanao mtoto ni baraka
mwanzoni tulikuwa vzr hakukuwa na tatizo, gafla tu akaanza kuniambia kuwa anaona simpendi
Swala la kuwa na mtoto tulishalizungumza kwa pamoja na tukajaribu lakini hatukufanikiwa
Mfano,kuwa ananiona siko na furaha kwake tofauti nikiwa na watu wengine kama wafanyakazi wenzangu, tunafanya kazi...
Nilikuwa kwenye mahusiano kwa miaka 2, kweli nampenda sana japo yeye siku zote alikuwa ananiambia kuwa ananiona simpendi . Sasa hayuko tayari tena na mimi na zaidi nina ujauzito hata sijui nifanyaje ?
Nampenda sana na naumia mwenzenu.
niliwahi kuandikiwa na kuwa nipime hiko kipimo cha kucheck mirija aghakhan Hosp, kina masharti yake ya siku za kupima, na ni dawa inainginzwa huku ndani kwa bibi, ukienda hosp watakuelekeza zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.