Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
I see!!
well said my brotherPole sana Arrabella,,hongera kwa kuwa mjamzito!Wengi sana wanatafuta hata mimba za kusingizia bila mafanikio!
Kuna mabadiliko huwa yanajitokeza katika kipindi cha ujauzito especially mimba inapokuwa changa,kuna wengine huwa wanafikia kuwafukuza waume zao nyumbani,hii ni hali ya kawaida Arrabella!
Mtafute rafike yake,au mtu mzima aongee naye ampe elimu ya ujauzito,kuwa hayo yote yanayotokea kipindi hiki hata umtukane matusi au umtamkie kabisa kuwa humtaki na umpendi,sio wewe ni hali uliyonayo ya ujauzito,akuvumilie na hasa azidi kujitahidi kuongeza upendo katika kipindi hiki!
Nakutakia malezi mema ya hicho kiumbe cha Mwenyezi Mungu
well said my brother
pole sana Arabella stay strong mwaya
Nilikuwa kwenye mahusiano kwa miaka 2, kweli nampenda sana japo yeye siku zote alikuwa ananiambia kuwa ananiona simpendi . Sasa hayuko tayari tena na mimi na zaidi nina ujauzito hata sijui nifanyaje ? nampenda sana na naumia mwenzenu
Mimba ina miezi mingap?tatizo kubwa sana wadada mnafanya kutega mimba kwa kudhani ndio penzi litapatikana...kabla ya kubeba mimba lazima uongee na mwenzio la sivyo inakula kwako.
Nilikuwa kwenye mahusiano kwa miaka 2, kweli nampenda sana japo yeye siku zote alikuwa ananiambia kuwa ananiona simpendi . Sasa hayuko tayari tena na mimi na zaidi nina ujauzito hata sijui nifanyaje ? nampenda sana na naumia mwenzenu
Labda udadavue, umesema siku zote anaona humpendi, meaning hata kabla ya mimba.
Ukaona uprove pendo lako kwa kumzalia au?
Ni nini kwa mfano kilichokuwa kinamfanya ahisi humpendi? Mifano miwili mitatu italeta mwanga.
Huyo hakupendi, hakuona njia nyingine ya kukuacha zaidi ya kukutwisha shutuma zisizo na kichwa wala miguu, na jinsi ulivyo naive ukaamini eti "anahisi simpendi".
Anza maisha mapya, na karibu kwenye chama cha 'SIMO' (single mothers); ni challenge lkn very rewarding.
Achana na huyo excuse of a man, watu wengine hu-man up pale wanapojua they are going to be fathers sasa yeye anakuja na vijistori.
Nilikuwa kwenye mahusiano kwa miaka 2, kweli nampenda sana japo yeye siku zote alikuwa ananiambia kuwa ananiona simpendi . Sasa hayuko tayari tena na mimi na zaidi nina ujauzito hata sijui nifanyaje ?
Nampenda sana na naumia mwenzenu.
Nilikuwa kwenye mahusiano kwa miaka 2, kweli nampenda sana japo yeye siku zote alikuwa ananiambia kuwa ananiona simpendi . Sasa hayuko tayari tena na mimi na zaidi nina ujauzito hata sijui nifanyaje ?
Nampenda sana na naumia mwenzenu.