snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,322
nlistuka na mimi!
ila nikagundua sio?
Last edited by a moderator:
naenda mwezi wa 3 sasa,nimejua nina mimba tayari akiwa hataki kuwa na mimi tena na
tulikuwa tunapanga ya kuwa na mtoto
Good !Mh! we bibie mbona kama ni mimi vile? aisee sina budi kuku-pm tushee. Unahitaji msaada wa kisaikolojia tu ili utuzalie mjomba/shangazi mwenye afya nzuri ya hisia na akili. Huyo mwanaume msahau na uanze kujifunza kumfahamu kama mzazi mwenzio walau wakati huu wa ujauzito.
anaona kuwa simpendi,na anajua kuwa ni mjamzito, anasema hayuko tayari kuendelea na mimi
Msimpe pole mjamzito bali hongera. Watu wanatafuta mimba kutwa kucha hawazipati.
Huyo lazima atakua anakamchepuko...
Pole na Hongera,
Tell the man you are expecting his baby....He deserves it, purely out of responsibility and welfare of the baby(Kitu ambacho kwa sasa ni priority).
Kuna tatizo kama umekaa naye miaka miwili na ahisi humpendi.
1) Either hukua unampenda na sasa umepata ujauzito huna jinsi na ukiangalia moyo wako unaona kama anafaa na ndo unadai unampenda ama ndo unakumbuka kumpenda.
2) Ulimpenda lakini si kivile na ulikuwa unajichanganya sana na rafiki wako wengine wa kiume(just friends), na ukawa unajisahau unamtreat kama wao tu, ama hukumpa muda na nafasi ya kutosha kama aliyoihitaji/stahili. Ama ulimpenda lakini huko vizuri kwenye mchango wako kwa mahusiano.
3) Jamaa ni mtu ambaye hajiamini na hakukuamini amini kama kweli unampenda. Au kuna vitu anaamini mpenzi hupewa na hakupewa(haijalishi kama ni haki ama la-its just the way he thinks).
4) Ama jamaa hakukupenda kivile. Kwa hiyo anajaribu kukufanya wewe ujisikie hatia akikuacha kumbe wala huna kosa.
Pick your reason and know how to rectify the problem. Ila kwa sasa ningekushauri umpe kipaumbele zaidi mwanao ajaye. Anastahili maisha bora kama kila mtanzania.
Kwan ww mpk leo bado upo SIMO?...wacha nifanye mpango nkutoe kwny hicho chama
Hapana nilishatoka huko Nokia, nilipata single father tukaunganisha single mbili na kupata family.
ni mimba ya kwanzaHiyo mimba ni ya mtoto wa kwanza au ulishazaa naye mtoto mwingine?
mwanzoni tulikuwa vzr hakukuwa na tatizo, gafla tu akaanza kuniambia kuwa anaona simpendi
Swala la kuwa na mtoto tulishalizungumza kwa pamoja na tukajaribu lakini hatukufanikiwa
Mfano,kuwa ananiona siko na furaha kwake tofauti nikiwa na watu wengine kama wafanyakazi wenzangu, tunafanya kazi kampuni moja ila vitengo tofauti, aliniambia nitafute kazi sehemu nyingine lakini sikufanikiwa kupata kote ninakoapply kitendo cha kukosa kazi sehemu nyingine au kuacha kazi hapa ninapofanya ndicho anahisi kuwa simpendi, japo tulizungumza hili bd anaona simpendi na kweli ninampenda sana
Mh! we bibie mbona kama ni mimi vile? aisee sina budi kuku-pm tushee. Unahitaji msaada wa kisaikolojia tu ili utuzalie mjomba/shangazi mwenye afya nzuri ya hisia na akili. Huyo mwanaume msahau na uanze kujifunza kumfahamu kama mzazi mwenzio walau wakati huu wa ujauzito.
mamii!
hebu lea mwanao!
mwanaume asiyejiamini kiasi hicho ukiwa nae as in life utakoma!it sucks!
anza kuongea na mwanao utaona mtakua pamoja na kutengeneza bond ya u two can be happy and estrong!
The man has issues.
Bidada atulie, huenda Mungu anamuepushia makubwa ambayo yangempata.
ukiendelea kukiri kuwa huelewi hutaelewa kweli ujueee!asnte Nandera, kweli hata sielewi nini kinaendelea mbele yangu