Nimechanganyikiwa jamani, naombeni ushauri

Nimechanganyikiwa jamani, naombeni ushauri

Kumbe unafanya kazi bidada, omba nafasi ya kuongea nae, kwa urefu ujue nini mawazo yake, kua utoe mimba, kua uwe single mom, kua atamlea mwanae , n so on,.Then jibu lake lolote lisikuvunje moyo, incase imeshindikana kua wote, kaa na mwanao, lea kadri uwezavyo , mpe maisha unayowish mwanao awe nao, ukiyumbisha kichwa mtoto atakosa mwelekeo, usikubali mama hilo litokee, Huyo baba akiamua kwenda mtakie aende salama asigeuke nyuma, na ufunge semi
 
tatizo hua mnaingia kichwa kichwa sana kwenye mahusiano sasa chakufanya we achana nae mungu atakusaidia kwakua kila litokealo hua lina makusudi yake,vilevile siku nyingine uwe unatumia zana hata zile za bei ndogo tu
 
nimejaribu kuongea nae sana na nakubali kuwa ni kosa nimefanya

Aisee pole basi usijutie yameshatokea. ...cha kufanya jaribu kuongea nae akigoma kabisa nenda kwa wazazi wake uwaambie tatizo lako awe na huduma kipindi hiki cha ujauzito mpaka utakapojifungua.
 
pole sna ndugu yang huyo mwanaume alikuwa ameoa au alikuwa single pind mnaanzisha mahusiano yenu?.Je,mliweka mipango yeyote ya pamoja? cha msingi kuwa na uhakika wa matumizi ya ujauzito na mpaka mtoto anapatikana.hapo mapenz hakuna tena labda baadae sana anaweza kujirud baada ya mtoto kuzaliwa.
 
Aisee pole basi usijutie yameshatokea. ...cha kufanya jaribu kuongea nae akigoma kabisa nenda kwa wazazi wake uwaambie tatizo lako awe na huduma kipindi hiki cha ujauzito mpaka utakapojifungua.

Asante sana, Nimejaribu kuongea nae lakini bado anamsimamo huo huo
 
Huyo mwanaume si kweli kwamba aliona humpendi alikuwa anakutafutia sababu ya kukuacha sasa mwenzangu ukashindwa kusoma alama za nyakati ukabeba na mimba ili kumdhihirishia ni jinsi gani unampenda kumbe ndo umeharibu kabisa. Pole sana hapo maji yashamwagika jipange tu jinsi ya kuwa single mum
 
pole sna ndugu yang huyo mwanaume alikuwa ameoa au alikuwa single pind mnaanzisha mahusiano yenu?.Je,mliweka mipango yeyote ya pamoja? cha msingi kuwa na uhakika wa matumizi ya ujauzito na mpaka mtoto anapatikana.hapo mapenz hakuna tena labda baadae sana anaweza kujirud baada ya mtoto kuzaliwa.

Asante sana, alikuwa single pia tulikuwa na mipango mingi tu
 
Yaani wote mlio comment hamjapa ushaur sana sana mme mpa pole tu na ku mlaumu kwa mbaaali!
Sasa ushauri wangu we si inamtaka mwendee kwa sangoma akupe limbwata atakufuata ka zezeta.

Ushaur mwingine, wafuate wazazi au washenga waliosimamia shoo mpaka mkawa wanandoa.. wasuluhishe.
Ni hayotu. Kama vyote hivyo vikifeli we subiri lea mimba na jiendeleze na mambo yako mengine , ila ushaur wenzako wasizae bila ndoa
 
dah jmni, hata mi nimeumia,kuwa mpole tuu atakuelewa labda anakupima eti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom