Sioni umuhimu wa alichokiongea kwa kutetea wanafunzi waliopo chuoni na sio wanaoingia ko kwa maelezo kbsa inaonesha dhahiri hawako bega kwa bega na vijana wanaoingia chuoni sahivi kwa maelezo aliyoyasema hapo juu ,hii ndo dunia yetu ambayo watu wako bize kutetea maslahi yao wenyewe na sio ndugu zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.