Recent content by Arnold

  1. A

    Vitabu vya Willy Gamba (Elvis Musiba)

    Elvis Musiba (Tanzania)
  2. A

    matatizo ya meno

    Pole sana, inaonekana tatizo lako ni la Fizi zaidi na tatizo hilo na mambo mengi lakini zaidi ni kutokana na Uchafu uliyokaa muda mrefu kwene kwnye meno hasa uchafu wenye vimengenya vya sukari, ambavyo hupenya mpaka kwenye fizi na kuanza kushambuali bones za kushikilia meno hivyo bones hizo...
  3. A

    Lipumba NI CCM ?

    hiyo file ya PDF mbona haifunguki ingawa nimeweza kuidownload nisaidieni tafadhali
  4. A

    April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

    Jamani nimepata taarifa toka kwa rafiki yangu mtoto wake amepoteza maisha, kweli ni hali ya hatari sana
  5. A

    Nini hutokea baada ya kufa?

    Kuhofu Wafu: Wafu hawawezi kufanya chochote wala kuhisi lolote. Sisi hatuwezi kuwasaidia, nao hawawezi kutuumiza. (Zaburi 146:4; Mhubiri 9:5, 10) Nafsi hufa; haiendelei kuishi baada ya kifo. (Ezekieli 18:4) Lakini nyakati nyingine malaika waovu, waitwao roho waovu, hujifanya kuwa roho za wafu...
  6. A

    Naomba Ukaribisho:Gozigumu

    Sioni mantiki ya watu kujificha kwa kutumia majina tofauti na yao ni ujinga na woga usiokuwa na maana
Back
Top Bottom