Habar wapambanaji. Kwa wale wote wanaotumia 1xbet kubetia. Kwa siku hizi usithubutu kutoa pesa kwa njia ya mitandao ya simu maana wana tatizo. Mm nilitoa pesa toka tarehe 24/4/2025 mpaka leo pesa sijapata nimejaribu kuwasiliana nao kwa email but wapi kila siku wanasema ndani ya saa 24 lakini...
Wakuu matokeo ya mtihani wa darasa la vii kwa mwaka 2024 yametoka.
Matokeo ya Darasa la saba yatangazwa leo Oktoba 29, 2024 yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Necta Dkt. Said Ally, ambapo watahiniwa 974,229 kati ya wanafunzi 1,230,774 waliosajiliwa kufanya mtihani wamefaulu...
Habar wakuu?? Naomba kuuliza hv kuna watu wanataka kujifunza lugha ya alama?? Maana kuna mafunzo yataanza kutolewa.
Tangazo ni hili.
*************************
Habari za wakati huu.
Mafunzo yetu ya Lugh ya Alama ya Tanzania yataanza kesho kutwa. Tarehe 22 Oktoba 2024.
Saa 4:50 asubuhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.