....jaribu kuomba chuo ambacho kina kozi unayotaka ukifika hapo uombe kubadilisha...hope utafanikiwa....bt n vzur hta ukikataliwa md njoo coz nyingne kama bpharm, lab, nursng, dentst, na nyinginezo...poa jaribu vyuo vyetu walivoviita vya viraza kama cuhas, kcmc,imtu, st.francs n.k.....hope...