Recent content by Arlnorldiey

  1. Arlnorldiey

    Kozi ya Ufamasia

    ...ahsante ndugu, hata m mwenyewe nmesoma pcm na npo cuhas pharmacy mwaka wa pili...so sibahatishi ninachosema...pharmacy is ol about chemistry and a very manute biology...
  2. Arlnorldiey

    Kozi ya Ufamasia

    ....kama umefaulu vzr hasa chemistry o level na A level afu unadaraja zuri unasoma hata bachelor..mfano m nmesoma pcm bt nw npo pharmacy...
  3. Arlnorldiey

    Kozi ya Ufamasia

    ....karibu mkuu cuhas...kunywa maji mengi mkuu...si tunakukaribisha...
  4. Arlnorldiey

    Kwa wale waliochaguliwa Cuhas..

    ....regstration form ipo kwenye web ya cuhas....unaipakua hapo...
  5. Arlnorldiey

    Kwa wale waliochaguliwa Cuhas..

    ....ahsante mkuu..bt hyo ya kuongezea kwenye ada kama unapokea mkopo kutoka heslb hua inafuatana na mkopo uliopewa na mara nying kila mwaka wanatofautiana kiwango...though range haibadiliki sana ..n mule mule...
  6. Arlnorldiey

    Kozi ya Ufamasia

    ....pharmacy msuli wake n hatar ..utafika mda utataman kuhamia md...utaona wenzako wanakula bata afu we ndo unateseka ...na hyo c muhas tu bal n vyuo vyote imrad n bpharm....bt ukijua ulichofuata hutakimbia bali utaipenda sana...karibu pharmacy jpo m cio wa muhas...
  7. Arlnorldiey

    Kwa wale waliochaguliwa Cuhas..

    2. wilaya ya Nyamagana
  8. Arlnorldiey

    Kwa wale waliochaguliwa Cuhas..

    ....1st wote kwa kozi zote mliochaguliwa cuhas karibun hapa tujuzane vitu mbali mbali kuhusu chuo hiki.....karibun...
  9. Arlnorldiey

    Nipo njia panda sijajua ni chague nini?

    .....angeanza kutuelezea hapo mtoa mada...
  10. Arlnorldiey

    Nipo njia panda sijajua ni chague nini?

    ....kwa maon yangu..naona kila coz iko poa, bt inategemea na channel...
  11. Arlnorldiey

    TCU na Kozi za Udakitari

    ....jaribu kuomba chuo ambacho kina kozi unayotaka ukifika hapo uombe kubadilisha...hope utafanikiwa....bt n vzur hta ukikataliwa md njoo coz nyingne kama bpharm, lab, nursng, dentst, na nyinginezo...poa jaribu vyuo vyetu walivoviita vya viraza kama cuhas, kcmc,imtu, st.francs n.k.....hope...
  12. Arlnorldiey

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

    ....duuuh! hizi picha itakua n wakimbiz wa syria.....lkn mbna bendera za cdm...???..
Back
Top Bottom