Ana matatizo ya masikio? anyways hebu mpelekeni hospital kubwa hiyo hali sio nzuri na kuna magonjwa mengi sana yanasababisha kupoteza fahamu, siwezi ku mention yote.
Kama hutajali taja tatizo lako ili usaidiwe cos kila hospital ina sifa zake katika tatizo Fulani...i mean kuna doctor anakuwa bora zaidi kwa tatizo Fulani utakuta yupo hospital Fulani etc.
Nilisoma shule moja iko tarime miaka minne sikuona ukorofi wao nikakutana nao chuoni wengi nilikuwa nao kwenye group discussion but sikuwai kuona ukorofi wao zaidi ya matatizo ya kawaida ya kibinadamu, sema hawa jirani zangu nilichowasoma wana confidence
y
a
h
a
l
I
y
a
j
u
u
.
N
I
m...
Yap inawezekana, ila kwa ushauri wangu ikiwezekana chukua pharmacy nina ndugu yangu Advance alichukua combination hiyo alipomaliza akapiga bacherol ya pharmacy.
I
k
o
p
o
s
n
a
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.