kwahyo m
kuu kwenye suala la mafuta we inashauri Nini sasa kifanyike. Manake usiwe nawe ni wale wale ambao wanazijua changamoto tu lakini hawawezi kutoa ushauri wowote kutatua changamoto hiyo
Trump aache propaganda za woga
Iran haiogopi kwa vitisho vya aina yoyote kwasababu kama vikwazo alishawekewa muda mrefu..kilichobaki anachoamini yeye ni mapambano tu
Sasa umejuaje amechonganisha kabla hayajahojiwa? What if akihojiwa na inaonekana alichokuwa anasema ni sahihi?
Tusiwe mashabiki tu bila kufikiri kwa kina, tusiwe tukawa ndio watengeneza chuki katika jamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.