Recent content by Areus

  1. Areus

    Suala la watu kuibiwa nyeti ni petty issues kuwatoa Watanganyika katika mjadala wa kupanda bei ya mafuta na mambo mengine ya muhimu

    kwahyo m kuu kwenye suala la mafuta we inashauri Nini sasa kifanyike. Manake usiwe nawe ni wale wale ambao wanazijua changamoto tu lakini hawawezi kutoa ushauri wowote kutatua changamoto hiyo
  2. Areus

    GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

    Baba leo ni Sadaka ya Wale jama
  3. Areus

    GE2025 Familia moja kuwa na wabunge wawili ambapo mmoja ni waziri, Je ni sawa?

    Ni sawa tu ilimradi wanakidhi matakwa na matamanio ya wananchi wao.
  4. Areus

    Trump asema Iran ikithubutu kuamsha tena mambo ya nyuklia, ataipiga tena

    Trump aache propaganda za woga Iran haiogopi kwa vitisho vya aina yoyote kwasababu kama vikwazo alishawekewa muda mrefu..kilichobaki anachoamini yeye ni mapambano tu
  5. Areus

    Ahmedy Ally: Mechi yetu na Kagera Sugar ndiyo mechi yetu ya mwisho msimu huu

    Kama Kuna watu wanawashauri Simba kususia Mechi, Basi ni Hamnazo sana Wao ndo sababu ya hayo yote Tarehe 8 machi
  6. Areus

    Kwanini Israel inafanya huu unyama na Dunia iko kimya tu?

    Kama Iran Ina ndoto za kulifuta Taifa la Israel what next
  7. Areus

    Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

    Acha ujinga wako hapo
  8. Areus

    Hizi ni sababu za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi

    Sasa umejuaje amechonganisha kabla hayajahojiwa? What if akihojiwa na inaonekana alichokuwa anasema ni sahihi? Tusiwe mashabiki tu bila kufikiri kwa kina, tusiwe tukawa ndio watengeneza chuki katika jamii
  9. Areus

    Hakimu atoa onyo kali kwa Lissu na wenzake kutodharau Mahakama pale inapokuwa imeketi

    Mkuu umesikiliza kesi, au unatumia tu kwa mbele
  10. Areus

    Tuko nyuma ya Ibrahim Traore

    Ahaaa haaaaa
  11. Areus

    Bunge la Lebanon lasema Hezbollah wameshindwa vita wajisalimishe!!

    Wabunge wao kama wetu hakuna jipya. Kwahyo we unaona mbunge ni mtu wa maana sana kufikiri?
  12. Areus

    Tupazeni sauti zetu ukarabati hewa uwanja wa Mkapa

    Huko Aman hakulogeki?
  13. Areus

    Tusipozinduka, CCM tutaishiwa Pumzi mapema!

    Ulikomalizia Andiko lako ndio target Yako Bongo bhana hatari sana
Back
Top Bottom