Recent content by Areus

  1. Areus

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kuibiwa nyeti ni petty issues kuwatoa Watanganyika katika mjadala wa kupanda bei ya mafuta na mambo mengine ya muhimu

    kwahyo m kuu kwenye suala la mafuta we inashauri Nini sasa kifanyike. Manake usiwe nawe ni wale wale ambao wanazijua changamoto tu lakini hawawezi kutoa ushauri wowote kutatua changamoto hiyo
  2. Areus

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

    Baba leo ni Sadaka ya Wale jama
  3. Areus

    JamiiForums Tanzania GE2025 Familia moja kuwa na wabunge wawili ambapo mmoja ni waziri, Je ni sawa?

    Ni sawa tu ilimradi wanakidhi matakwa na matamanio ya wananchi wao.
  4. Areus

    JamiiForums Tanzania Trump asema Iran ikithubutu kuamsha tena mambo ya nyuklia, ataipiga tena

    Trump aache propaganda za woga Iran haiogopi kwa vitisho vya aina yoyote kwasababu kama vikwazo alishawekewa muda mrefu..kilichobaki anachoamini yeye ni mapambano tu
  5. Areus

    JamiiForums Tanzania Ahmedy Ally: Mechi yetu na Kagera Sugar ndiyo mechi yetu ya mwisho msimu huu

    Kama Kuna watu wanawashauri Simba kususia Mechi, Basi ni Hamnazo sana Wao ndo sababu ya hayo yote Tarehe 8 machi
  6. Areus

    JamiiForums Tanzania Kwanini Israel inafanya huu unyama na Dunia iko kimya tu?

    Kama Iran Ina ndoto za kulifuta Taifa la Israel what next
  7. Areus

    JamiiForums Tanzania Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

    Acha ujinga wako hapo
  8. Areus

    JamiiForums Tanzania Hizi ni sababu za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi

    Sasa umejuaje amechonganisha kabla hayajahojiwa? What if akihojiwa na inaonekana alichokuwa anasema ni sahihi? Tusiwe mashabiki tu bila kufikiri kwa kina, tusiwe tukawa ndio watengeneza chuki katika jamii
  9. Areus

    JamiiForums Tanzania Hakimu atoa onyo kali kwa Lissu na wenzake kutodharau Mahakama pale inapokuwa imeketi

    Mkuu umesikiliza kesi, au unatumia tu kwa mbele
  10. Areus

    JamiiForums Tanzania Tuko nyuma ya Ibrahim Traore

    Ahaaa haaaaa
  11. Areus

    JamiiForums Tanzania Bunge la Lebanon lasema Hezbollah wameshindwa vita wajisalimishe!!

    Wabunge wao kama wetu hakuna jipya. Kwahyo we unaona mbunge ni mtu wa maana sana kufikiri?
  12. Areus

    JamiiForums Tanzania Tupazeni sauti zetu ukarabati hewa uwanja wa Mkapa

    Huko Aman hakulogeki?
  13. Areus

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kanisa Katoliki lahoji uhalali wa Tume ya Uchaguzi, lasema wajumbe ni wateule wa Rais

    Hatutaki siasa zifike kwenye majumba ya ibada
  14. Areus

    JamiiForums Tanzania Tusipozinduka, CCM tutaishiwa Pumzi mapema!

    Ulikomalizia Andiko lako ndio target Yako Bongo bhana hatari sana
  15. Areus

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sakata la Makonda na Gambo Zitto amchana Gambo kuhudhuria vikao asifikiri kuna kupita bila kupingwa kama 2020

    Kwamba hatujui jimbo lile hata mtoto pendwa analitaka?
Back
Top Bottom