Recent content by Areus

  1. Areus

    JamiiForums Tanzania John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo zinapaswa kujibiwa na yeye

    Very cheap politics, basi afikishwe mahakamani kwa kosa la utakatishaji pesa sio kuleta Kelele humu Tupo bize
  2. Areus

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Aangalie sana ,lisije likawa tamko litakalomtoa kafara kisiasa. Asome alama za nyakati Tupo katika nyakati ambazo tu ataja Dunia ione tuna demorasia ya kweli yenye kujali misingi ya Haki na utawala Bora Pia Tamko lake ni kama Kuna Taaharuki Nchini,jambo linaloweza kusababisha wawekezaji...
  3. Areus

    JamiiForums Tanzania Je, nini kifanyike ili kama Taifa tutoke kwenye mkwamo wa kidiplomasia duniani?

    Mkuu unaelewa maana ya Veto power ? Je ni mataifa yote duniani Yana kiti pale UN?
  4. Areus

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kuibiwa nyeti ni petty issues kuwatoa Watanganyika katika mjadala wa kupanda bei ya mafuta na mambo mengine ya muhimu

    kwahyo m kuu kwenye suala la mafuta we inashauri Nini sasa kifanyike. Manake usiwe nawe ni wale wale ambao wanazijua changamoto tu lakini hawawezi kutoa ushauri wowote kutatua changamoto hiyo
  5. Areus

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

    Baba leo ni Sadaka ya Wale jama
  6. Areus

    JamiiForums Tanzania GE2025 Familia moja kuwa na wabunge wawili ambapo mmoja ni waziri, Je ni sawa?

    Ni sawa tu ilimradi wanakidhi matakwa na matamanio ya wananchi wao.
  7. Areus

    JamiiForums Tanzania Trump asema Iran ikithubutu kuamsha tena mambo ya nyuklia, ataipiga tena

    Trump aache propaganda za woga Iran haiogopi kwa vitisho vya aina yoyote kwasababu kama vikwazo alishawekewa muda mrefu..kilichobaki anachoamini yeye ni mapambano tu
  8. Areus

    JamiiForums Tanzania Ahmedy Ally: Mechi yetu na Kagera Sugar ndiyo mechi yetu ya mwisho msimu huu

    Kama Kuna watu wanawashauri Simba kususia Mechi, Basi ni Hamnazo sana Wao ndo sababu ya hayo yote Tarehe 8 machi
  9. Areus

    JamiiForums Tanzania Kwanini Israel inafanya huu unyama na Dunia iko kimya tu?

    Kama Iran Ina ndoto za kulifuta Taifa la Israel what next
  10. Areus

    JamiiForums Tanzania Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

    Acha ujinga wako hapo
  11. Areus

    JamiiForums Tanzania Hizi ni sababu za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi

    Sasa umejuaje amechonganisha kabla hayajahojiwa? What if akihojiwa na inaonekana alichokuwa anasema ni sahihi? Tusiwe mashabiki tu bila kufikiri kwa kina, tusiwe tukawa ndio watengeneza chuki katika jamii
  12. Areus

    JamiiForums Tanzania Hakimu atoa onyo kali kwa Lissu na wenzake kutodharau Mahakama pale inapokuwa imeketi

    Mkuu umesikiliza kesi, au unatumia tu kwa mbele
  13. Areus

    JamiiForums Tanzania Tuko nyuma ya Ibrahim Traore

    Ahaaa haaaaa
  14. Areus

    JamiiForums Tanzania Bunge la Lebanon lasema Hezbollah wameshindwa vita wajisalimishe!!

    Wabunge wao kama wetu hakuna jipya. Kwahyo we unaona mbunge ni mtu wa maana sana kufikiri?
Back
Top Bottom