Wewe ni nani?
Upo hapa duniani kwa ajili gani?
Nani aliyekuumba?
Nini hatima ya maisha yako?
Ukiondoka au ukifa unaelekea wapi?
Je unakujua jehanamu?
Jibu katika uelewako,mshirikishe na mwenzio.
Wewe hacha uongo hayo ndio.mafundiaho ya RC sasa mtu ameshakufa wewe umkumbuke kwa maombi ili iweje hakina mawasilianao.kati ya mtu aliyekufa na aliye hai .Mtu ukifa no more communication Bibilia imekataza ibada za wafu ndugu zangu.Soma Waebrania9:27 baada ya kifo ni hukumu ukimuombea aliyekufa...
Imani uja kwa kusikia neno la Mungu na si kwa imani yako kila imani inachanzo chake.Wewe imani yako is dont care huyu mwenzako tangu awali alikuwa anaibada za wafu au mizimu so alijiconnect sasa bila kuwa na mawasiliano.nayo uleta shida ndani ya maisha yake.
Kwa.mfano wewe shetani...
Mpe Yesu maisha no misukosuko anymore.Hachana na habari za ibada za wafu huo ni.ushetani maana unataka kujilisha upepo kwamba ukitembelea makaburi ndio misukosuko itaisha hiyo ni ibada ya wafu.
Ukiokoka tu kila kitu kitakaa sawa kwenye tatizo Yesu atakutetea na zaidi ya yote utaupata uzima wa...
Google information juu ya lips kuvimba.au kuwa red utapata full information. Usipopata masaada wowote yupo Yesu mpelekee tatizo lako ni daktari bingwa wa mabingwa wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.