gestapo de combatimento
Member
- Oct 9, 2017
- 21
- 7
Habari zenu wakuu mbalimbali,
Mimi nina ndoto za kufungua kampuni ya kusaidia watu wenye mazingira magumu pamoja na Marginalized populations wote, nitashughulika na kusaidia malazi, chakula, nguo, afya, na kutoa elimu ya ujasiriamali.
Kiukweli inaitaji gharama kubwa sana lakini kama nitapata wafadhili basi itakuwa jambo zuri, nisaidieni utaratibu unaotumika kupata wafadhili wa nje ya nchi au apa apa kwetu, lengo ni kutimiza ndoto zangu za kuwatumikia watu wenye wakati mgumu na waliopoteza matumaini kwenye maisha
Mimi nina ndoto za kufungua kampuni ya kusaidia watu wenye mazingira magumu pamoja na Marginalized populations wote, nitashughulika na kusaidia malazi, chakula, nguo, afya, na kutoa elimu ya ujasiriamali.
Kiukweli inaitaji gharama kubwa sana lakini kama nitapata wafadhili basi itakuwa jambo zuri, nisaidieni utaratibu unaotumika kupata wafadhili wa nje ya nchi au apa apa kwetu, lengo ni kutimiza ndoto zangu za kuwatumikia watu wenye wakati mgumu na waliopoteza matumaini kwenye maisha