Mim ni mwalimu wa shule ya msingi Nipo Masasi Mtwara. Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kutoka mikoa yote ya kanda ya ziwa. mwasiliano 0785294747 au 0677191723
Naitwa mwl Shukurani W.Samwel mwalimu wa shule ya msinginiko mkoa wa mtwara wilaya ya masasi. Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi kutoka mikoa ya Mara,Geita au Mwanza kwa yeyote aliyeko tayari tuwasiliane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.