hizi ni propaganda za ccm kutaka kututoa kwenye swala la msingi kuhusu katiba mpya ya wananchi
ili kupunguza idadi ya wananchi kuwa na uelewa wakutosha kuhusu katiba mpya ya wananchi
mnafiki huyo anataka wananchi waone kuwa ccm wana nia nzuri kumbe wanalao jambo wanataka litimie
kinachotakiwa nikuheshimu mawazo ya wananchi nakuyajadili sio huo upuuzi wao wa eti maoni ya wengi yasiyo yautafiti na sio ya moja kwa moja kutoka kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.