Usipo piga kula ndio utakua umeipitisha katiba kirahisi maana idadi ya watakao piga kura hata wakiwa mia na wamepiga ndio ujue katba ndo imepitshwa hivo. Cha msingi kapige ili ufanye maamuzi kwenye sanduku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.