Hapana hakufikia ulinzi wa Waziri Mkuu,Magufuli anatembea na gari mbili,mija take na moja ya usalama,sidhani kama waziri Mkuu anatembea na ulinzi huo,tusisikilize maneno ya watu,ukiwa na Muda njoo Kinondoni Ada Estate,Sida flats,utapata taarifa za kweli...