Natamani kujua kama ni mjamzito lakini naogopa kupima mana nimekuwa nikijaribu kushika mimba kwa miezi sita bila mafanikio.
Mzunguko wangu ni 28 days last month nilipata Mp tar 14, nilifanya sex tar 27 ambapo ndo yai lilikuwa linapevuka. Lakini kuanzia tar 28 maziwa yalianza kujaa mpaka ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.