Recent content by April7

  1. April7

    Kaa mbali na Mwanamke asiyejua kuandika jina lake kwa usahihi

    Mkuu, mfumo wa uandikaji wa jina unabadilika kulingana na lugha au nchi husika. Mfano jina Mariam linaandikwa sana na mataifa ya Israel na baadhi ya nchii zinazozungumza lugha ya Spanish, lakini mataifa yanayoongea kiarabu wanapotumia Latin words wanaandika Maryam. Kwa sisi baadhi ya nchi za...
  2. April7

    Kutokana na changamoto ya Ushoga, nini kipo kipo nyuma ya pazia Dunia?

    Sio kweli mkuu, kumbuka wakati ugonjwa wa UKIMWI unaingia Tanzania miaka ya 1980s watu wengi walikuwa wanakufa kwa kukosa elimu, leo hii vijana wengi mashoga historia zao zinaanzia ngazi ya familia wangali wadogo kabisa sababu kuu ni kutofahamu tatizo. Lakini tunavyopeana elimu itachangia...
  3. April7

    Kutokana na changamoto ya Ushoga, nini kipo kipo nyuma ya pazia Dunia?

    Mkuu, lengo ni kuelimishana tu kama ambavyo tunaelimishana katika mambo mengine.
  4. April7

    Kutokana na changamoto ya Ushoga, nini kipo kipo nyuma ya pazia Dunia?

    Wakuu habarini, moja kwa moja niende kwenye mada hisika. Duniani kumekuwa ni mahali penye changamoto za kila aina, binadamu akiwa kama kiumbe icon wa ulimwengu amekuwa mhanga mkuu wa changamoto zilizopo. Kama kichwa cha habari kilivyo, karibia kila sehemu/nchi wakati huu ushoga umekuwa si kitu...
  5. April7

    Kutokana na changamoto ya Ushoga, nini kipo nyuma ya pazia Duniani?

    Wakuu habarini, moja kwa moja niende kwenye mada hisika. Duniani kumekuwa ni mahali penye changamoto za kila aina, binadamu akiwa kama kiumbe icon wa ulimwengu amekuwa mhanga mkuu wa changamoto zilizopo. Kama kichwa cha habari kilivyo, karibia kila sehemu/nchi wakati huu ushoga umekuwa si kitu...
  6. April7

    Ujio wa Masihi Dajjal (Antichrist) Na Nabii Issa (R.A) Yesu

    Sheikh/Ostadh, unaonekana uko vizuri sana kwenye kukariri. Waliokuletea hizi imani wako pembeni wanakuangalia namna unavyojitutumua kuilinda na kuitetea hali ya kuwa wao wameshaachana na hizi mambo. Amka ndugu hata mimi nilikuwa kama wewe, lakini baadae nikaamua kuisikiliza sauti iliyopo ndani...
  7. April7

    Ujio wa Masihi Dajjal (Antichrist) Na Nabii Issa (R.A) Yesu

    Kwanini Mungu mwenye huruma, upendo na hekima asiyazuie hayo yote yatakayosababishwa na huyo muovu haliyakuwa anajua kuwa yatatokea. Yeye mwenyewe (Mungu) kupitia maandiko ambayo yanasemekana kuwa ni yakwake ameeleza kuwa mwanadamu ni dhaifu, sasa iweje aruhusu kumpa mitihanai migumu namna hiyo...
  8. April7

    Chanzo cha CORONA - COVID 19

    Nimesikitushwa kuona uzi mzuri kama huu ukikosa wachangiaji. Hongera sana mkuu, umewaza kwa kiwango cha juu sana.
  9. April7

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    Mkuu, kwa mujibu wa picha yako inaonyesha waz kabjsa waisilamu wanaswali masjid al aqsa na sio eneo la waz. Iko hivi, kuna masjid al aqsa pia kuna dome of the rock, hivi ni vitu wiwili tofauti vilivyopo maeneo yanayokaribiana. Tazama picha hiyo.
  10. April7

    Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

    Mtoa post unaonekana kabisa wewe ni mdini lakini hata dini yenyewe huna ujuzi nayo, katika hao wote uliowaorodhesha hapo juu hakuna aliyehukumiwa na huyo mungu kwasababu ya kumdhihaki. Labda nikukumbeshe kitu kimoja, kifo sio adhabu kwa maana huyo mungu mwenyewe kupitia maandiko yake kasema...
  11. April7

    Mufti sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa Waislamu wote kuombea mvua

    Ivi nikisema mungu hajui anachokitaka nitaitwa kafiri, mpinga kristo na majina mengine mabaya sio? Yaani mungu hajui kama watu wake wanataka mvua mpaka abembelezwe kwa maombi?. Sasa ile huruma ambayo wafuasi wa dini wanayoipromote kuhusu huyu mungu iko wapi, au muda mwingine huwa anapitiwa na...
  12. April7

    Naona upotoshaji mkubwa juu ya historia ya mwanadamu na kila kinachoendelea ilimwenguni

    Ili uweze kuzielewa hizi imani za majahazi inakubidi ujitoe ufahamu ulionao alafu usihoji chochote alafu amini unachoambiwa, na mtu yeyote mwenye hizo sifa tajwa hapo anajulikana kama mpumbavu.
  13. April7

    Naona upotoshaji mkubwa juu ya historia ya mwanadamu na kila kinachoendelea ilimwenguni

    Sahihi mkuu, mungu ni asili na asili ipo kila mahali usipoijua asili yako watafika wengine watakupotosha ili wakutumie.
  14. April7

    Naona upotoshaji mkubwa juu ya historia ya mwanadamu na kila kinachoendelea ilimwenguni

    Hiyo mizimu ndio dini zenyewe mkuu, kumbuka hata hao wazungu/waarabu wanaabudu mizimu pia, kwa uelewa wangu mizimu ni roho za watu ambao walishawahi kuishi kwenye ulimwengu huu and then wakafa, so that wakristo wanavyomuomba Yesu hakuna utofauti wa muafrika anavyowaomba mababu zake waliokufa...
Back
Top Bottom