Recent content by Apostlesofjesus

  1. A

    JamiiForums Tanzania GE2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

    Wala usiwe na wasiwasi. Ni kwwli wakatoliki na watanzania wanajua kuwa Gwajima alimtukana matusi mazito sana Askof Pengo. Pia hiv karibuni aliitwa polisi kuhojiwa kwa kurusha clip za kuchochea ukabila na kuwashauri wasukuma kuunda group la kusaidiana wasukuma kwa wasukuma. Hii nayo ni mbaya sana...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

    Misheni mikocheni Hospital wanafanya hii huduma Dada. Nina uhakika na ninachokuambia kwa sababau niliwakuta sabasaba na nikaona wameweka hilo tangazo na wakanipa maelezo mazuri sana jinsi wanavyofanya. Tena uzuri zaidi wanachukua hadi bima ya afya ya N.H.F. Zaid sana ukimtanguliza Mungu.pole...
  3. A

    JamiiForums Tanzania GE2020 Je, kauli hizi za 'Tamaa ya Madaraka na kutomtuma mtu kugombea' alizotoa Rais Magufuli ni dongo kwa Makonda na Gambo?

    Amin anin nawambien. Paul makonda ameandaliwa kugombea jimbo la kigamboni na bada ya kuwa mbunge atakuwa waziri wa mambo ya ndani au waziri mkuu. Mi nawambia haya ili badae yakitokea mjue nilisema.
  4. A

    JamiiForums Tanzania GE2020 Je, kauli hizi za 'Tamaa ya Madaraka na kutomtuma mtu kugombea' alizotoa Rais Magufuli ni dongo kwa Makonda na Gambo?

    Anaandaliwa kuwa waziri na hata msishangae akawa waziri mkuu. Tuwe makini sana na kauli za wanasiasa. Wanajua kucheza sana na akili zetu.
  5. A

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kangi Lugola: Nina makosa gani hadi nisigombee Ubunge?

    Pengina kwa mchango wake aliochangia bungeni kwa mara ya mwisho waweza kumrudisha bungeni. Anajua kucheza karata vuzuri sana. Mi nimemsifu.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Wanaosema fedha isikupe kiburi hawajui nini maana ya kutafuta fedha

    Nakukatalia kabisa kwa sababu: Kuna watu wanaangaika kutafuta pesa kwa bidii zote tangu akiwa na miaka ishirini mpaka anafika miaka stini hajafanikiwa. Pia kuna watu wanaangaika kutafuta pesa tangu wakiwa na miaka ishirin mpaka miaka hamsini anafanikiwa. Pia kuna watu wanafanikiwa miaka ya...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Wanaosema fedha isikupe kiburi hawajui nini maana ya kutafuta fedha

    Si kweli. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. A

    JamiiForums Tanzania Ummy Mwalimu: Watoa huduma za afya wasikimbie wagonjwa, sio kila homa kali ni Corona

    Serikali yetu ama kwa kujua au kwa kutokujua au kwa kushauriwa vibaya, iliwafukuza wauguzi wazoef na waliobobea na wenye ujuzi na wito na kazi ya uuguzi kwa vigezo vya kutokuwa na vyeti. Sasa wamebaki na wenye vyeti ambao wanawakimbia wagonjwa. Tusiwe tunafanya maamuzi kwa kukurupuka bila...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mungu hadhihakiwi, maombi ya juzi yana kasoro kubwa sana, Mungu hatayajibu

    Asante sana ndugu kwa maneno yako yenye nguvu mno na hekima ya hali ya juu. Mungu akubariki sana na azidi kukuongezea hekima. Namwomba Mungu kama kuna viongozi wa dini wako huku na ambao wako karibu na Rais wetu watamshauri jinsi ya kufanya ili katika kuomba kwetu tusiende ki himotion zaid bali...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya covid-19: Polepole awaambia viongozi wa Serikali huu si wakai wa kutisha watu au kuchukua hatua za kufedhehesha

    Tumwombee Mungu amsamehe kwa maneno yake ya kufananisha chadema na corona. Nasi watanzania tumsamehe katika kipundi hiki cha kutubu kwa ajili ya Taifa na kuliombea Taifa dhidi ya corona. Ametamka manenono mabaya mno! mno! mno! yanasikitisha yanahuzunisha na yanalidhalilisha Taifa. Sent using...
Back
Top Bottom