Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,882
- 2,109
Acha masikhara Lissu ampe Uwaziri Makonda?Makonda anashinda mapema tu ubunge halafu huyohuyo Magu anampa uwaziri wa mambo ya ndani. Mark my words
Acha masikhara Lissu ampe Uwaziri Makonda?Makonda anashinda mapema tu ubunge halafu huyohuyo Magu anampa uwaziri wa mambo ya ndani. Mark my words
Watanzania wengi ni wehu na wewe ni mmoja waoIla Magufuli nimekubali...kweli Hajaribiwi. Ukiweka ugoko anaweka chuma.
Kamkataa dogo mapema tu.
Seems una hoja lkn umeshindwa kuitoa kwa wasomaji. All in all Makonda katumwa! Makonda hana akili za kufanya lolote bila maelekezo! Kwa hili kuachia madarka hawezi kuthubutu bila Jiwe kumpa support!Ukimsikiliza msemaji wa Rais anakwambia wazaramo wanausemi ambao unabamba sana mjini usemao Mwana kulitafuta Mwana kulipata pia Mama Samia naye anakwambia wateule wa Rais wajifunze kuridhika Ukija kwa JPM mwenyewe anawaambia mie sijatuma mtu...
Huko kwenye matokeo ni mbali mno kwani ni lazima kwenye kampeni majibu yatakuwa wazi na njenjeKauli za huyu mkuu kuzielewa ni kwenye matokeo ya kichofanyika
Na kwa vile Magu ni kama mungu ndani ya ccm basi tegemea Kigamboni kutoswa Makonda kura ya maoni mpaka atashangaa.Bashite .....
Mi naona kabisa koroboi utambi unazama. Magu hanaga mambo ya kiswahili Kwanza Hana Siri akisema hakutaki ,hakutaki kweli, akisema sijakutuma ujue hujatumwa Hana kupapasa papasa mambo.
Kwenye hili makondo hawezi kosa tundikwa dripi za kutosha.
Watu wanamsikia tu Dr Magufuli. Hawajui kuwa Dr ni mtu ayeamini na kushikilia kile kitu anachokiamini. Bw Paul Makonda anaweza kujipata mahali penye changamoto kali bila kutarajia.Dogo kachemsha, and watu humu wanasema eti anaandaliwa kuwa waziri!!
Kwa siasa za magu ukimpenda/usipompenda style yake, basi usiweke sana moyoni utaumia.Rais Magufuli baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Dodoma amenena kwamba viongozi mbalimbali hawaridhiki kabisa na madaraka hasa waliozaliwa mwaka 82 (1982).
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole...
Kauli hii imenifanya niangalie mwaka aliozaliwa Paul Makonda na Mrisho Gambo na kukuta wote wamezaliwa mwaka 1982. Naamini hii haiwezi kuwa bahati mbaya ila Rais alimaanisha alichokisema.
Nanuia kusema kwamba Makonda na Gambo mpaka sasa wana hali mbaya na huenda ukawa mwisho wao kisiasa.
Baadhi ya nukuu za Rais Magufuli...
Kwenye hizi kazi kuridhika ni kitu kikubwa. Yule kijana pale anaitwa Selemani ana PHD lakini mshahara ni laki 5. Aliridhika na mshahara wake. Ilipojitokeza fursa ndiyo tukamteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa. Viongozi vijana imekuwa ngumu kuridhika hasa waliozaliwa miaka ya 1982.
Nilikuwa napewa taarifa na Makamu wa Rais, waliojitokeza kugombea kupitia CCM mpaka sasa ni zaidi ya 8,000 na Dar es Salaam ndiyo inaongoza ambapo hadi leo alfajiri wapo 829
Nawapongeza waliotia nia lakini niwahakikishie hakuna aliyetumwa na mimi, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mzee Mangula wala Katibu Mkuu, kama wapo wanaosema mimi nimewatuma ni waongo na hii meseji iwafikie Wana-CCM wote nyinyi wapimeni wagombea kulingana na mnavyoona wanafaa
Sijatuma mtu [kugombea ubunge]. Siwezi nikatuma mtu kupitia mgongo wa pembeni. Kama ningekuwa na uwezo wa kukutuma, kwanini nihangaike kukutuma, si ningesubiri tu kwenye viti vyangu 10 nikakuteua kama ningeshinda.
Kumbe we ndo bodyguard wake?Sijui kama ulitafakari kabla ya kuandika ulichoandika. Pole sana.
Ahsante
Dogo kachemsha, and watu humu wanasema eti anaandaliwa kuwa waziri!!
"EXIT"Exist strategy.
In politics hakuna bahati mbaya everything is planned
Thubutuuu!Huo ndiyo ukweli makonda atakuwa waziri au Naibu spika
Mkuu wewe ndie umeona kwa jicho la tai, acha wanaorukaruka kama maharage kwa sufuria waendelee kushangilia.Usimwamini sana Magu.
Kinyume chake huenda ndio ukweli ii msije kusema aliwaandaa ili aje awape uwaziri.
Kumbe jamaa limetaja hadi miaka ya 1980sRais Magufuli baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Dodoma amenena kwamba viongozi mbalimbali hawaridhiki kabisa na madaraka hasa waliozaliwa mwaka 82 (1982).
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole...
Kauli hii imenifanya niangalie mwaka aliozaliwa Paul Makonda na Mrisho Gambo na kukuta wote wamezaliwa mwaka 1982. Naamini hii haiwezi kuwa bahati mbaya ila Rais alimaanisha alichokisema.
Nanuia kusema kwamba Makonda na Gambo mpaka sasa wana hali mbaya na huenda ukawa mwisho wao kisiasa.
Baadhi ya nukuu za Rais Magufuli...
Kwenye hizi kazi kuridhika ni kitu kikubwa. Yule kijana pale anaitwa Selemani ana PHD lakini mshahara ni laki 5. Aliridhika na mshahara wake. Ilipojitokeza fursa ndiyo tukamteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa. Viongozi vijana imekuwa ngumu kuridhika hasa waliozaliwa miaka ya 1982.
Nilikuwa napewa taarifa na Makamu wa Rais, waliojitokeza kugombea kupitia CCM mpaka sasa ni zaidi ya 8,000 na Dar es Salaam ndiyo inaongoza ambapo hadi leo alfajiri wapo 829
Nawapongeza waliotia nia lakini niwahakikishie hakuna aliyetumwa na mimi, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mzee Mangula wala Katibu Mkuu, kama wapo wanaosema mimi nimewatuma ni waongo na hii meseji iwafikie Wana-CCM wote nyinyi wapimeni wagombea kulingana na mnavyoona wanafaa
Sijatuma mtu [kugombea ubunge]. Siwezi nikatuma mtu kupitia mgongo wa pembeni. Kama ningekuwa na uwezo wa kukutuma, kwanini nihangaike kukutuma, si ningesubiri tu kwenye viti vyangu 10 nikakuteua kama ningeshinda.