Ni kwelii huna uzalendo wowote, unadhani kuwa maraisi wa nchi.. nyingine mnazo zishobokea kwamba zina diplomasia nzurii wapo perfect. Baba ni baba hta akikuchapa still be your father
mkuu.. hoja za mheshimiwa kigwangala ni zamsingi sana, kwa sababu simba si club ya Mtu mmoja sasa kuhoji uwezo wakuongoza wa mwanadada hajakosea na mwanadada ni mfanyakazi wa mudi ktk biashara zake nyingine huoni kutakuwa na conflict of interest akiwa C.E.O
always Investors are much clever than u think, MO sikwamba hanauwezo wakutoa hiyo pesa noup... anao sema baada yakupigwa chini kupewa 51% ya share naona akijijengea kingdom yake ili mahamuzi yake yawe na nguvu kwa masrahi yake binafsi
asante mkuu... mimi ni mwanaume kwokwote kambi, ingekuwa vizuri nikajua hizo kazi zinakuwa za aina gani na kipato chake na utaratibu wakuingia? ili hata nikisema nakuja najua naanzia wapi asante
kwa mimi hapa dar nilie... proove kwa kiasi ni mshkaji anaitwa benwade,wengine nawaonea kwenye social media tu wapo wanaofanikiwa japo ni wachache sana
Nikweli unayosema, kama ulishawahi fanya forex naamini utaelewa ni kwa kiasi gani muda unapotea kukaa ndani na computer siku nzima na imekuwa hivyo kwa miezi yote nane, na bado pesa tatizo....
kujua all things dealer do its very difficult sema kwa uchache we know their movements.. napo some time kwa small capital inakuwa ngumu kuwa consistency ndani ya muda mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.