Recent content by apk

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

    Waoooo 😂😂.. Kumbe sio mara ya kwanza. Kweli chura kiziwi anazaa watoto viziwi.
  2. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Haya monita wote waliokuwa wanasumbua mchana naomba majina hapa haraka ,la sivyo wote humu mtapata fimbo za kutosha 🥸
  3. A

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Wanahold siti na kuziuza kwa bei ya juu huku wakiokota. Michezo ya mjini.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kijana, don't settle with your agemate

    Mkuu Natafuta Ajira ajira nimesoma baadhi ya nyuzi zako.Asilimia kubwa zinazungumzwa code za mahusiano na namna ya kudeal na wanawake.Japo wanasema hayana formula ila nondo zako zinatosha kwa mtu mwenye akili timamu kujipanga kabla ya kuingia kwenye mahusiano na vitu vya kutegemea. Itoshe kusema...
  5. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Kukosa usingizi.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    1.Iringa- Mjini & Mufindi-Mpangatazara 2.Njombe mjini+vijijini kidogo 3.Mbeya-Tukuyu 4.Morogoro-Mahenge 5.Arusha Mimi ni mzaliwa wa Arusha tena milimani. Kuna sehemu pia Arusha kuna winter ila bado list naomba ifuatwe kama mstaafu.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Haya wale wa mpangatazara na chogo mmefikiwa 😂😂
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mke amuua mumewe kwa kumchoma kisu na kisha kutoroka akiwa ameacha watoto wadogo

    Huyu jamaa anajua historia. Ni kweli walihama wakahamia Arusha.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Maisha bila kuroga muda mwingine hayaendi. Tupeane connections za mafundi

    Nina namba za fundi ila hajasoma lakini anajua kuweka vitu vyako vizuri. Anapiga plasta, anasuka lenta, bati anaweka fresh kabisa yani hana kipengele kabisa na vifaa vya kazi anakuja navyo yeye mwenyewe na hata sementi haibi.Njoo DM nikupe namba yake.
  10. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Samaleko ndugu katika malindo. Yani kukosa Lindo siku moja tu pashageuka studio wasafi watu wanaimbiana humu tu 😂😂😂
  11. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Upo sahihi mkuu. Tafsiri ya mafanikio inategemea na muktadha wa mtu. Mwingine hajawahi kula milo miwili kwa siku ,siku akianza kula mitatu kwake ni mafanikio. Kuna mtu ana magari matano ,akinunua moja bado kwake anaona ni mafanikio. Tujifunze kujipimia kiwango cha mafanikio tukirejelea...
  12. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ndio mkuu ,haujawahi kabisa ? Inaitwa mchakamchaka kwa kiswahili na jogging kwa kiingereza 😁😁
  13. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Matizi jogging Mkuu simkimbii mtu 😂😂
  14. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ashante shana last born wa Lindo
  15. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0208 Ngoja nilale hapa nione kama ntaamka saa kumi na moja kukimbia 😂😂
Back
Top Bottom