Arudi kwa kushauri serikali iuze dhahabu?
Hilo suala la makodi kibao lipo wazi sikuzote linajulikana ni mwiba kwa watu binafsi na wafanyabiashara pia.Akizungumzia namna nyingine ya kutatua sawa ila kwa hili la kuuza dhahabu ndio linafanya tuseme ubunge unahitaji msomi tena wa masters sio watu...
Watu watembee wapate exposure discussion zingine hazina kichwa wala miguu.
Sababu kuu ya kufanya hivyo ni ipi?
Faida na madhara yake ni yapi?
Nimefika mkoani mchana nisubirie mpaka asubuhi kesho yake ndipo niingie guest?
Ina faida gani kufanya hivyo?
Kiusalama?
Kiuchumi?
Kijamii?
"Common sense...
Asante kwa taarifa.
Maelekezo yapo simple sana kuna wengi hawana ufahamu kuhusu hizo kazi.Msaada maelekezo zaidi.
Mfano mimi nina skills za kufanya translation English-Swahili japo sina document/vyeti kuthibitiaha hilo.
Ukishafungua account hatua mpaka unapata kazi ya kwanza ni vitu gani...
Kigango cha msimbazi 🤣🤣🤣.
Kwanza utambulisho kama wa kwenye zile debate za form 1 & 2.
Wahuni tupu.Iwekwe sheria watu kama hawa wakamatwe kwa kuchafua sura ya dini/imani za watu.
Pole sana mkuu ila haisaidii.
Ukihamia roma,pentecoste,islamic,atheist/budha ndipo viongozi wake wote wanasimamia haki?
Huwezi kuacha kwenda kanisani kwa sababu mchungaji amezini.Hawezi kuwa perfect unavyotegemea ndivyo wanadamu tulivyo.
Keep calm and cool.
Kama wewe ni CCM na unajua huna akili usikomenti..Toa matako yako kwenye huu uzi kaungane na lucas mwashambwa.
Mnafurahia upuuzi tu watoto wenu wataishi hapa hapa wataonja joto ya jiwe ambayo nyie mmeiruhusu kwa ubinafsi wenu wa madaraka.
Nb: Matako yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.