Recent content by apk

  1. A

    Baba Levo: Nilinunua nguo Uturuki, nikapita Dubai Airport sikudaiwa, Tanzania nikaambiwa nilipe ushuru wa nguo za watoto wangu

    Arudi kwa kushauri serikali iuze dhahabu? Hilo suala la makodi kibao lipo wazi sikuzote linajulikana ni mwiba kwa watu binafsi na wafanyabiashara pia.Akizungumzia namna nyingine ya kutatua sawa ila kwa hili la kuuza dhahabu ndio linafanya tuseme ubunge unahitaji msomi tena wa masters sio watu...
  2. A

    IShowSpeed asitisha Tour yake Nchini Namibia

    Mitano tena wako wapi watusaidie kupiga makofi.Mabeberu wanataka kuja kutuchunguza kisirisiri wanatuonea wivu tuna maendeleo makubwa kuwazidi 🤣🤣🤣🤣
  3. A

    Kuingia nyumba za kulala wageni asubuhi idhibitiwe kama pool table

    Watu watembee wapate exposure discussion zingine hazina kichwa wala miguu. Sababu kuu ya kufanya hivyo ni ipi? Faida na madhara yake ni yapi? Nimefika mkoani mchana nisubirie mpaka asubuhi kesho yake ndipo niingie guest? Ina faida gani kufanya hivyo? Kiusalama? Kiuchumi? Kijamii? "Common sense...
  4. A

    Sikiliza huyu mzazi, mtoto wake alifukuzwa shule ili aende VETA kisa uwezo mdogo, mzazi akakaza form four akapata zero

    Nlitaka kuuliza hilo swali. Kuna watu very bright na wanaenda veta. Kila mtoto ana sehemu anafit sana ni kujua wapi anafaa.
  5. A

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Lucas Mwashambwa Nakuita huku kuna viatu vya kulamba
  6. A

    Ni kwanini waajiriwa wanaopaswa kuwa na maisha ya kitumwa wana afadhali kuzidi watu wengi waliojiajiri nchini?

    Wapi imeandikwa aliyeajiriwa anapaswa kuwa na maisha magumu ? Kwamba ni wajibu wake kuteseka?
  7. A

    Kazi za remote

    Asante kwa taarifa. Maelekezo yapo simple sana kuna wengi hawana ufahamu kuhusu hizo kazi.Msaada maelekezo zaidi. Mfano mimi nina skills za kufanya translation English-Swahili japo sina document/vyeti kuthibitiaha hilo. Ukishafungua account hatua mpaka unapata kazi ya kwanza ni vitu gani...
  8. A

    Baadhi ya waumini waliojitambulisha kama wakatoliki wamemshukia Askofu Ruwai'ch baada ya kauli yake ya 'lofa'

    Kigango cha msimbazi 🤣🤣🤣. Kwanza utambulisho kama wa kwenye zile debate za form 1 & 2. Wahuni tupu.Iwekwe sheria watu kama hawa wakamatwe kwa kuchafua sura ya dini/imani za watu.
  9. A

    Kwa hali hii, namtoa mwanangu kule Moshi- CCP

    M Msiniite mtabiri ilq huyu ni manara mwenyewe.
  10. A

    Tarehe 29 ilikukuta wapi na ulikuwa wapi?

    Uvccm bhana. Sura mpya miguu ya zamani.
  11. A

    Nimeamua Kuachana na USABATO Nikiwa na akili timamu , Biblia inaonyesha Manabii walionya Wafalme WAOVU, Vijana wanauliwa, Viongozi SDA wako Kimya

    Pole sana mkuu ila haisaidii. Ukihamia roma,pentecoste,islamic,atheist/budha ndipo viongozi wake wote wanasimamia haki? Huwezi kuacha kwenda kanisani kwa sababu mchungaji amezini.Hawezi kuwa perfect unavyotegemea ndivyo wanadamu tulivyo. Keep calm and cool.
  12. A

    TEC wafutiwe usajili

    Kwenye list ya zero brains ongezeni na hili zuzu
  13. A

    PostGE2025 Dkt. Malisa: Rais Samia ajiuzulu kabla ya Disemba 9 au Akabili Maandamano makubwa ambayo hayajawahitokea Barani Afrika

    Kama wewe ni CCM na unajua huna akili usikomenti..Toa matako yako kwenye huu uzi kaungane na lucas mwashambwa. Mnafurahia upuuzi tu watoto wenu wataishi hapa hapa wataonja joto ya jiwe ambayo nyie mmeiruhusu kwa ubinafsi wenu wa madaraka. Nb: Matako yenu
  14. A

    Serikali kazia hapo hapo msiwape nafasi tena CHADEMA wasijifanye wao ni last born kususa susa - Nchi ilikuwepo bila CHADEMA na itaishi bila CHADEMA

    Angalia sana maneno yako hiyo 2030 unaweza ukawa umeondoka wewe ukatuachia tanganyika yetu.
Back
Top Bottom