Recent content by apk

  1. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Amina faza
  2. A

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Yaani heri ununue mbolea ya mbuzi/kuku uanzishe bustani uuze mboga sio pikipiki.
  3. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Alhamdulilah...Uzima upo kabisa ,hela tu ndio changamoto , na bei ya wese 😁😁
  4. A

    JamiiForums Tanzania Boda boda za mkataba na hesabu huwa zinawalipaje wamiliki

    Tuseme chombo ni 3,000,000. Ukiimpa mtu kwa rejesho la 10,000 kwa siku kwa siku 6 ni 10000*6*52=3,120,000 kwa mwaka 12 miezi. Hapo unaassume huyo boda hajaumwa,hajapata ajali,hajapata dharura na service nimekubaliana atafanya yeye, yani siku 6 za wiki yuko mzigoni. Hivyo itakuchukua mwaka...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Pumzi imeshakata kutoka kujivisha umagufuli mpaka kuanza kukejeri

    Wanachoma mafuta kufanya ziara ambazo hazitatui hata 0.1% ya matatizo makubwa yanayowakabili watanzania. Bora angeanzisha style yake ila za kuiga tena ya Magu mizimu yake bado haijapoa hawezi kutoboa.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nimenusurika kupigwa. Bahati yangu nilienda kwa wakala anayehesabu noti zote kwa mashine na bila kuificha. Nimempa 10K ya shukrani

    Usiseme amenusurika kupigwa mkuu sema nimenusurika kuingia hasara.. Nmekuja mbio kidogo nivunje miguu nilitegemea ntakuta picha zako domo limevimba umebaruzwa kumbe ni ishu ya hela. Pole na siku nyingine usirudie.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuna watu wa afya wanachukua namba za wagonjwa na kuwatongoza?

    Unless it's concerning welfare of the patient or conducting a phone call follow up ,misuse of communication channels such as phone calls are strictly unethical for medical practitioners. By the way nobody knows their rights ,hakuna mtu anajua haki zake. An average Tanzanian doesn't know a thing...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kauli hizi, jua umekwishakufa, bado kuzikwa tu

    Ilinichukua muda takribani miaka 6 kugundua hilo... Sasa baada ya kuwa Mkaksi wamebaki wachache ambao ndio ndugu zangu na familia yangu wengine wote walikuwa friends with benefit wasio na mchango wowote kwangu zaidi ya entitlement. Binadamu wengi wetu ni manipulators na ukiwaonyesha kwamba...
  9. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    2240... Kukosa usingizi season 1 episode 4. Wadau kwema huko mlipo? Poleni na mapambano ya maisha.
  10. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0356.. Ni kama kitanda kina kunguni yani usingizi uko kaskazini mimi niko kusini 🤣🤣🤣
  11. A

    JamiiForums Tanzania Lodge za Mtwara Mjini

    Artimus ndio nani mkuu..Mimi mgeni kidogo mjini 😃😃.. Ila pia iko centre kidogo sehemu za kula na kunywa zipo karibu ni kuswampa tu
  12. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hapo manake mwendo wa kutype na kukunja shingo humu tu 😁😁😁
  13. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ok hata mimi kuna kipindi nilikuwa natumia simu kuongea masaa mpaka nasikia kikianza kuzingua natulia kwanza naachana na simu. Inabidi uanze kutafuta replacement kama inawezekana taratibu taratibu 😃😃
  14. A

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ohoo ok. Hiko anti pain nazo ni za kumeza mara moja then maji ya kutosha na mapumziko mbali na vifaa vya mawasiliano
Back
Top Bottom