Recent content by APICHO MKWELI

  1. A

    Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    Je tbs wanaweza kutupatia ubora wa ulanzi? Kama bado wanahujuma ktk bidhaa halali? Fuatilia:ktk kiambata(attachment) hiki: Tbs inapotumika kudidimiza na kukandamiza wafanya biashara wadogo ,je serikali iko wapi? Hivi karibuni tbs imepokea hongo kutoka wenye viwanda mmi na alaf kumuondoa...
  2. A

    Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    Je tbs wanaweza kutupatia ubora wa ulanzi? Kama bado wanahujuma ktk bidhaa halali? Fuatilia:ktk kiambata(attachment) hiki: Tbs inapotumika kudidimiza na kukandamiza wafanya biashara wadogo ,je serikali iko wapi? Hivi karibuni tbs imepokea hongo kutoka wenye viwanda mmi na alaf kumuondoa...
  3. A

    TBS na rushwa ya ngono

    Hivi karibuni shirika la viwango lilitangaza usaili kwa nafasi za kazi mbalimbali watu tuliitwa wengi kuliko ya kawaida ,mtihani wa maandishi uliisha, lakini uchaguzi(short list) haukufuata ufaulu,bali kwa upendeleo wa kindugu,rushwa na rushwa ya ngono. Hata walioitwa kwa usaili wa pili(oral)...
  4. A

    Angalizo: TBS, vijana wenu 'wanakula' rushwa

    RUSHWA YAO MPAKA KWENYE USAILI Hivi karibuni shirika la viwango tanzania(tbs) limefanya usaili wa waombaji nafasi za kazi kama ilivyotanganzwa ,cha ajabu tuliofanya vema tumeachwa ktk shortlist, wamechaguliwa watu kwa kujuana na wengine waliokwisha toa rushwa ya ngono kwa wakurugenzi na baadhi...
  5. A

    Angalizo: TBS na rushwa ya ngono katika usaili

    Hivi karibuni shirika la viwango Tanzania(TBS) limefanya usaili wa waombaji nafasi za kazi kama ilivyotanganzwa ,cha ajabu tuliofanya vema tumeachwa ktk shortlist, wamechaguliwa watu kwa kujuana na wengine waliokwisha toa rushwa ya ngono kwa wakurugenzi na baadhi ya wahojaji. Tunaomba vyombo...
Back
Top Bottom