Je tbs wanaweza kutupatia ubora wa ulanzi?
Kama bado wanahujuma ktk bidhaa halali?
Fuatilia:ktk kiambata(attachment) hiki:
Tbs inapotumika kudidimiza na kukandamiza wafanya biashara wadogo ,je serikali iko wapi?
Hivi karibuni tbs imepokea hongo kutoka wenye viwanda mmi na alaf kumuondoa...
Je tbs wanaweza kutupatia ubora wa ulanzi?
Kama bado wanahujuma ktk bidhaa halali?
Fuatilia:ktk kiambata(attachment) hiki:
Tbs inapotumika kudidimiza na kukandamiza wafanya biashara wadogo ,je serikali iko wapi?
Hivi karibuni tbs imepokea hongo kutoka wenye viwanda mmi na alaf kumuondoa...
Hivi karibuni shirika la viwango lilitangaza usaili kwa nafasi za kazi mbalimbali watu tuliitwa wengi kuliko ya kawaida ,mtihani wa maandishi uliisha, lakini uchaguzi(short list) haukufuata ufaulu,bali kwa upendeleo wa kindugu,rushwa na rushwa ya ngono. Hata walioitwa kwa usaili wa pili(oral)...
RUSHWA YAO MPAKA KWENYE USAILI
Hivi karibuni shirika la viwango tanzania(tbs) limefanya usaili wa waombaji nafasi za kazi
kama ilivyotanganzwa ,cha ajabu tuliofanya vema tumeachwa ktk shortlist, wamechaguliwa
watu kwa kujuana na wengine waliokwisha toa rushwa ya ngono kwa wakurugenzi
na baadhi...
Hivi karibuni shirika la viwango Tanzania(TBS) limefanya usaili wa waombaji nafasi za kazi kama ilivyotanganzwa ,cha ajabu tuliofanya vema tumeachwa ktk shortlist, wamechaguliwa watu kwa kujuana na wengine waliokwisha toa rushwa ya ngono kwa wakurugenzi na baadhi ya wahojaji. Tunaomba vyombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.